Wee nakula mpaka mifupa ...shingo nanyonya mpaka mbususu iteme uteleziHujaona shingo na kasura ka kitoto!![]()
Wee nakula mpaka mifupa ...shingo nanyonya mpaka mbususu iteme uteleziHujaona shingo na kasura ka kitoto!![]()
Hahahaaa!Wee nakula mpaka mifupa ...shingo nanyonya mpaka mbususu iteme utelezi
Upo sexy sana mrembo...dah najilaumi kwa nini pale msamvu sikukupeleka chobingo nikala utamu wakoHahahaaa!
Duh imefutwa
Wanakunywa inayotoka jikoni ndo wanaoungua midomo hao na kuunguza mainiya moto moto?

Akili zako sasa!!!Upo sexy sana mrembo...dah najilaumi kwa nini pale msamvu sikukupeleka chobingo nikala utamu wako
Asante mkuu ukipata ishu ya kuingiza pesa ya maana ualimu unaupiga chini tu Hakuna ishu kabisa huku !Umependeza sana.
View attachment 2199757
Umenikumbusha enzi zangu za Ualimu. Hapa nikiwa mwl. Kazi ninayoimiss hadi leo.
Very smart rubani!!
🤣🤣🤣Wanakunywa inayotoka jikoni ndo wanaoungua midomo hao na kuunguza maini
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
😆😁😁😁😁🤪Very smart rubani!!
Mkuu Naomba hio pipi 😋😋
Hakuna kazi haina changamoto mahondawAsante mkuu ukipata ishu ya kuingiza pesa ya maana ualimu unaupiga chini tu Hakuna ishu kabisa huku !
Umependeza sana mkuu!
Niambie faida kwanza huenda ukanishawishi
Acha basi.
Nije nikufundishe kunywa, hivi unajua faida za bia?

Kwanza unywaji wa pombe uliopitiliza ni hatari kwa afya yako, hilo ujue kwanza.
Izo faida hizo Nina mashaka nazoKwanza unywaji wa pombe uliopitiliza ni hatari kwa afya yako, hilo ujue kwanza.
Bia inasaidia kupunguza hatari ya kupata matatizo ya moyo na kuimarisha mishipa.
Bia inang'arisha ngozi.
Beer inapunguza hatari ya kupata mawe kwenye figo.
Inaimarisha mifupa.
Inazuia kupata viharusi n.k n.k
Lakini kunywa kiasi tu..

kumbe na kiharusi inaziua sio kuongeza
ngojab nipambane na Azam embe 
Azam embe ni rangi na sukari za kiwandani, halafu hapo hakuna matunda ni chemicals tu, njoo ule ngano iliyopikwa, yaani kilimanjaro moja ni sawa umekula chapati.😁Izo faida hizo Nina mashaka nazokumbe na kiharusi inaziua sio kuongeza
ngojab nipambane na Azam embe
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Azam embe ni rangi na sukari za kiwandani, halafu hapo hakuna matunda ni chemicals tu, njoo ule ngano iliyopikwa, yaani kilimanjaro moja ni sawa umekula chapati.![]()


chapati tena Ndio bia moja ni sawa umekula chapati kama 2 heavy.
Hakuna pesa ya maana mkuu, kote ni shida tu so long boss ni yule yule, tunatafuta nafuu tu. Niliamua kuhamia kwenye taaisisi.Asante mkuu ukipata ishu ya kuingiza pesa ya maana ualimu unaupiga chini tu Hakuna ishu kabisa huku !
Umependeza sana mkuu!