Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niambie faida kwanza huenda ukanishawishi

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwanza unywaji wa pombe uliopitiliza ni hatari kwa afya yako, hilo ujue kwanza.

Bia inasaidia kupunguza hatari ya kupata matatizo ya moyo na kuimarisha mishipa.

Bia inang'arisha ngozi.

Beer inapunguza hatari ya kupata mawe kwenye figo.

Inaimarisha mifupa.

Inazuia kupata viharusi n.k n.k

Lakini kunywa kiasi tu..
 
Kwanza unywaji wa pombe uliopitiliza ni hatari kwa afya yako, hilo ujue kwanza.

Bia inasaidia kupunguza hatari ya kupata matatizo ya moyo na kuimarisha mishipa.

Bia inang'arisha ngozi.

Beer inapunguza hatari ya kupata mawe kwenye figo.

Inaimarisha mifupa.

Inazuia kupata viharusi n.k n.k

Lakini kunywa kiasi tu..
Izo faida hizo Nina mashaka nazokumbe na kiharusi inaziua sio kuongeza ngojab nipambane na Azam embe

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Izo faida hizo Nina mashaka nazokumbe na kiharusi inaziua sio kuongeza ngojab nipambane na Azam embe

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Azam embe ni rangi na sukari za kiwandani, halafu hapo hakuna matunda ni chemicals tu, njoo ule ngano iliyopikwa, yaani kilimanjaro moja ni sawa umekula chapati.😁
 
Back
Top Bottom