Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yule afande mrefu akuwa akiitwa Kumalija unamfahamu?
Alikuwa getini
Ni Kumaliga 🤣🤣🤣

Yule nilikuwa nina bahati nae mbaya.. daily nakamatwa, mara sketi fupi, mara nimenyoa kisahai, mara sijavaa mkisi, mara Matron mwangalie huyu.. mbona kama amejipodoa.. haya kanawe uje hapa unatiririka maji🤣🤣

Nikamwambia baba naomba tu ufanye mchakato nianze kuvaa jezi ya njano 🙌
 
We are so high on plant, very high...

And we are not not coming down,

If pisi is with us she's not coming down either..
Bangi iliponishinda nikivuta nacheka mno, yaani nacheka balaa, hata kitu kidogo nacheka hatari.

Kitu kingine ni heart beat rate inakuwa juu sana mpaka inanipa mashaka, nikaachaga mpaka leo situmii mmea kabisa.
 
Ifunda technical secondary school,, kuna school mate humu
images.jpg
 
Yaani wanakuwa sweet daddy haswa ..
Sijui wanakuwaje huko kazini aisee wanafundishwa ukali tu
emoji23.png


Yaani ningekoma haswa ...alingangania nisome hapo baada ya siku mbili selection ndo zikatoka ikawa pona yangu .
Wakianza kusema ‘mimi sio raia bla bla hapo 🤣 ujue yatapanda mashetani ya ki TPDF
Raia tutasemwa hapo as if ni hamnazo.

Pale bana kuna kiji experience tulitoka nako… hapaboi ingawa ni pagumu
 
Ni Kumaliga 🤣🤣🤣

Yule nilikuwa nina bahati nae mbaya.. daily nakamatwa, mara sketi fupi, mara nimenyoa kisahai, mara sijavaa mkisi, mara Matron mwangalie huyu.. mbona kama amejipodoa.. haya kanawe uje hapa unatiririka maji🤣🤣

Nikamwambia baba naomba tu ufanye mchakato nianze kuvaa jezi ya njano 🙌
Huyo jamaa dawa yake ni moja tu, ukiwa na kosa we ongea english hata kama haihusiani na kosa, mfano akikukamata labda umechelewa.

Kijitetea unaanza "is the branch of science which deals with the study of......" hapo utamsikia Kumaliga "haya shenzi toka nenda darasani haraka"😂😂

Alikuwa std 7, English ilimpiga chenga mno..

Ila usiulize kama nimesomea hapo.
 
Bangi iliponishinda nikivuta nacheka mno, yaani nacheka balaa, hata kitu kidogo nacheka hatari.

Kitu kingine ni heart beat rate inakuwa juu sana mpaka inanipa mashaka, nikaachaga mpaka leo situmii mmea kabisa.
Kuna basics ulikosa mkuu.

Ungezipata hizo basics unge reap benefits zote zinazokuja na plant.

Unamuhitaji mentor pale unapoamua ku engage kwenye a life changing adventure kama holly plant.

Kwa haraka haraka pia hukuupa mmea heshima yake kamili. Hili linadhibitishwa na namna umeu refer hapa
 
Kuna basics ulikosa mkuu.

Ungezipata hizo basics unge reap benefits zote zinazokuja na plant.

Unamuhitaji mentor pale unapoamua ku engage kwenye a life changing adventure kama holly plant.

Kwa haraka haraka pia hukuupa mmea heshima yake kamili. Hili linadhibitishwa na namna umeu refer hapa
Mbengooo utaisekeeeeaaaaaaaaa
Kwa Jena la Yesoo aliye haee
 
Wakianza kusema ‘mimi sio raia bla bla hapo ujue yatapanda mashetani ya ki TPDF
Raia tutasemwa hapo as if ni hamnazo.

Pale bana kuna kiji experience tulitoka nako… hapaboi ingawa ni pagumu

Aisee pagumu huko .. ila wanapenda kubagua ,hayo mambo ya raia ..
Hongera aisee kusoma shule ya namna hiyo sio mchezo .
 
Huyo jamaa dawa yake ni moja tu, ukiwa na kosa we ongea english hata kama haihusiani na kosa, mfano akikukamata labda umechelewa.

Kijitetea unaanza "is the branch of science which deals with the study of......" hapo utamsikia Kumaliga "haya shenzi toka nenda darasani haraka"😂😂

Alikuwa std 7, English ilimpiga chenga mno..

Ila usiulize kama nimesomea hapo.
Me nilikuwa nishaanza kumuogopa, na alivyo barikiwa sauti kali 🙌

Ulisoma wewe au Ulikuwa service
 
Back
Top Bottom