Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,040
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe na huyo mwenzako mbingu hazitofunguka wallahAcha woga
Una ujasiri wa kuzunguruka na makapu,ila wa kusuka huna
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe na huyo mwenzako mbingu hazitofunguka wallahAcha woga
Una ujasiri wa kuzunguruka na makapu,ila wa kusuka huna
Ile mnaita kiwigi sijui? Me wakati mwingine uwa za kati naweka wave…
Hawa wazee wetu ni nomaalitukatazaga suruali, binafsi nilisikia.. dogo aligoma… yule mtoto ni vijora, skin jeans na pensi.. sketi akivaa ni ya shule
Mshua aliongea mpaka akasahau![]()
Ooh yeah ni MsabatoMzee wako msabato?
Na kwa nini hataki?
Mbengo zenafongokaaa😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe na huyo mwenzako mbingu hazitofunguka wallah
Nishaikataa bange yenuDada unaninyoosheaga huyu dogo 🙌🏿
Naam, anaukosea heshima yake mmea.Mwambie nitampiga… akishindwa aiite hata Mary Jane
Mzee wako nae kazid sasa hata rangi tu jamanOoh sawa
vipi style zile unanyoa huku unaset weekly , nywele inabaki na mawimbi hiyo anaikubali ?
Wazee huwa wanakuwaga wakali
Mimi wangu hataki nipake rangi ya kucha aisee huwa naibia napaka miguuni tu .. akiniona naficha vidole![]()
Hao hao 🤣🤣Anha itakuwa hiyo .. style ile huwa naipenda .
Hadi suruali alizuia huyo anaonekana mkali vipi nahisi ulisemaga alikuwa JW.
Zamani sisi tulikuwa tunamuogopa hivi wanajeshi sijui wanakuwaje sio kwa ukali huo .. rafiki yangu mmoja wakati tupo shule alisukaga vitunguu , Mzee wake alimngoa zile rasta .
A puff a day, keeps the doctor awayNishaikataa bange yenu
Nyie ongeeni tu lugha moja
!!!Na head girl akiwa Heaven Sent?
Utapewa adhabu ufyeke uwanja mzima wa mbengo
Mweh sina hamuMzee wako nae kazid sasa hata rangi tu jaman

ikabidi niende kufuta. 
Hawa Wana mbingu yao wenyewe.
Sawa..A puff a day, keeps the doctor away
Mie mzee wangu alikua hapendi nivae surualiMweh sina hamu
Nakumbuka ilikuwa 2017 alinisema siku hiyoikabidi niende kufuta.
Ukipaka inna hata hana shida na wewe ila aone turangi![]()

nilikua na lijimtandio kuubwa nikitoka nalivaa kwa juu nikipotea tu usawa wa home nalitupia kwene begi speed town. Maisha yale sitaki kukumbuka.Nipo kwenye mkesha. Kesho nikìtokaTunaomba selfie yako baba mtumishi
Nipo hukuuu… kule mbali
Uko town??
😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣 watakuombea mtu wao walau upate uongozi wahuku kwetu ndio hapo nitakapoponea !Hawa Wana mbingu yao wenyewe.
Kule tunayoingia sisi hawa hawatakuwepo..labda waingie kimchongo😂
Puff puff pass, my Mary JaneA puff a day, keeps the doctor away