Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hao hao

Wanakuwaga na mambo yao jau sana.. sema ilisaidia sana hata vijana wa hovyo mtaani hawawasumbui… dizaini ye anaogopeka mpaka nyie mnaogopwa

Khaaa huyo alizidi… mimi huyu kitu alizidigi ni kuna siku nilizingua akaenda kunichomea shule
Ile siku nilikula stick jamani, na haya mashule yao venye wako na fimbo zao spesho


Ooh yeah wanatusaidia sana kutunyoosha kimadili ...mtaa wanajua mtoto wa mzee fulani sema wakija kuzeeka wanakuwa wastaarabu hao .. sasa hizi nikikaa nae nasema ndo huyu au pacha wake .

Shule zile hazifai aisee sio kwa viboko vile ilibaki kidogo niende Jitegemee hakika ningenyoshwa .
 
Mie mzee wangu alikua hapendi nivae suruali nilikua na lijimtandio kuubwa nikitoka nalivaa kwa juu nikipotea tu usawa wa home nalitupia kwene begi speed town. Maisha yale sitaki kukumbuka.

Aisee tumetoka mbali hapo ukifika karibia maeneo ya nyumbani unauvaa .

Sie hatujazoea suruali kihivyo Mimi kama kuanza kuvaa suruali nimeanza majuzi hapa muda mwingi ni magauni kwenda mbele .
 
Wakati nakua nikajisemea mimi niolewe na Askari au polisi hapana .
Ooh yeah wanatusaidia sana kutunyoosha kimadili ...mtaa wanajua mtoto wa mzee fulani sema wakija kuzeeka wanakuwa wastaarabu hao .. sasa hizi nikikaa nae nasema ndo huyu au pacha wake .

Shule zile hazifai aisee sio kwa viboko vile ilibaki kidogo niende Jitegemee hakika ningenyoshwa .
Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa 🤣🤣
Imekuwa double kipenzi cha baba.


Jitegemee ungekoma 🤣🤣
Misala mingi sana pale
Ila kibishi tukasepapo 😍
Napakubali kiasi
 
Aisee tumetoka mbali hapo ukifika karibia maeneo ya nyumbani unauvaa .

Sie hatujazoea suruali kihivyo Mimi kama kuanza kuvaa suruali nimeanza majuzi hapa muda mwingi ni magauni kwenda mbele .
Tumetoka mbali mno yaan.
 
Mornie nicheki coz cm napoteza kila week tukae pale rotion ndo nlikuwepo mchana nakula mdudu..pillars night tutacheki
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 itabidi nikuombee, wewe na kupoteza simu sijui mna shida gani….

Rotion na Kilombero kwa pacha sio mbali.. lile deal kesho liishe basi au?
 
Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa 🤣🤣
Imekuwa double kipenzi cha baba.


Jitegemee ungekoma 🤣🤣
Misala mingi sana pale
Ila kibishi tukasepapo 😍
Napakubali kiasi
Yule afande mrefu akuwa akiitwa Kumalija unamfahamu?
Alikuwa getini
 
Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa
Imekuwa double kipenzi cha baba.


Jitegemee ungekoma
Misala mingi sana pale
Ila kibishi tukasepapo
Napakubali kiasi



Yaani wanakuwa sweet daddy haswa ..
Sijui wanakuwaje huko kazini aisee wanafundishwa ukali tu

Yaani ningekoma haswa ...alingangania nisome hapo baada ya siku mbili selection ndo zikatoka ikawa pona yangu .
 
Back
Top Bottom