Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hao hao
Wanakuwaga na mambo yao jau sana.. sema ilisaidia sana hata vijana wa hovyo mtaani hawawasumbui… dizaini ye anaogopeka mpaka nyie mnaogopwa
Khaaa huyo alizidi… mimi huyu kitu alizidigi ni kuna siku nilizingua akaenda kunichomea shule
Ile siku nilikula stick jamani, na haya mashule yao venye wako na fimbo zao spesho![]()
Ooh yeah wanatusaidia sana kutunyoosha kimadili ...mtaa wanajua mtoto wa mzee fulani sema wakija kuzeeka wanakuwa wastaarabu hao .. sasa hizi nikikaa nae nasema ndo huyu au pacha wake .
Shule zile hazifai aisee sio kwa viboko vile ilibaki kidogo niende Jitegemee hakika ningenyoshwa .


