Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kichwa kizuri kabisa hicho
Ukinyoa style unapendeza
Sijui ni style hiyo au ilikuwa nyingine
🤣🤣 mshua wangu ni ananipigiaga wasap vdeo call, siku akapiga akanikuta na Style konki… akanambia kwanini umenyoa kama boda boda!? 😂😂😂

Next call nisikute hicho kiduku🤣🤣
Basi sahivi ni mwendo wa usabato tu
 
Sijui ni style hiyo au ilikuwa nyingine
mshua wangu ni ananipigiaga wasap vdeo call, siku akapiga akanikuta na Style konki… akanambia kwanini umenyoa kama boda boda!?

Next call nisikute hicho kiduku
Basi sahivi ni mwendo wa usabato tu

Ooh sawa
vipi style zile unanyoa huku unaset weekly , nywele inabaki na mawimbi hiyo anaikubali ?

Wazee huwa wanakuwaga wakali
Mimi wangu hataki nipake rangi ya kucha aisee huwa naibia napaka miguuni tu .. akiniona naficha vidole
 
Sijui ni style hiyo au ilikuwa nyingine
🤣🤣 mshua wangu ni ananipigiaga wasap vdeo call, siku akapiga akanikuta na Style konki… akanambia kwanini umenyoa kama boda boda!? 😂😂😂

Next call nisikute hicho kiduku🤣🤣
Basi sahivi ni mwendo wa usabato tu
Eti bodaboda😂
 
Ooh sawa
vipi style zile unanyoa huku unaset weekly , nywele inabaki na mawimbi hiyo anaikubali ?

Wazee huwa wanakuwaga wakali
Mimi wangu hataki nipake rangi ya kucha aisee huwa naibia napaka miguuni tu .. akiniona naficha vidole
Ile mnaita kiwigi sijui? Me wakati mwingine uwa za kati naweka wave…

Hawa wazee wetu ni noma 🙌 alitukatazaga suruali, binafsi nilisikia.. dogo aligoma… yule mtoto ni vijora, skin jeans na pensi.. sketi akivaa ni ya shule
Mshua aliongea mpaka akasahau 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom