nelvine
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 1,113
- 1,878


Ya uchagani kabisa 🙌Wooi Mcute![]()
Mbona sioni makapu mdogo wetu?
Toto kiuno nyigu, miguu sasaNipo mkuu!

Kweli dearUnanichonjabadala ya kuni convince
😂😂😂 nina ka uchogo flani hujakaona tuShape sio muhimu ila kikubwa ni kuwa unapendeza
Mimi nina kichwa kipana plus mashavu ila hivyo tu dear siku zinaenda .
Sioni ukienda mbinguni mkuu 🤣🤣Hio combo Bila shaka mbengo zelefongoka hatare!!!
🤣🤣🤣🤣 angalia vizuriMbona sioni makapu mdogo wetu?
Alikua bizi na kakake wanapiga tu rodi tripu twao uchwara twa tip-top/mwembechai. Mara jangwani/faya.
Nikamchukua dadangu Heaven Seant tukatimkia zetu Mbarali kupiga faya




Chogo nani analiona kikubwa mbele umependezanina ka uchogo flani hujakaona tu
Ati siku zinaenda![]()
.Kamba gani wakati hips don't lie hizo
Mzabzab hujaachaga bange zako eeh !! naona sikuhizi ndio umeshawehuka kabisa!!! Nitakutumia hela mpesa unitumie asali na mafuta ya alizeti asee!!!Ah nilishahama zamani....sasa nipo kaliua huku tabora....dah hili tako leo litanikosesha usingizi
Umeshindikana
Owh kumbe mtani kabisaYa uchagani kabisa![]()

Kiasi cha hela yote
Kweli naendelea kuamini bangi mnayovuta ni kali mnoKamba gani wakati hips don't lie hizo
Sijamfikia mdogo wako anayevaaa kaptura😂Umeshindikana