Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Kwa hio Tinsley ukataka kunipiga chenga kwamba sio wewe?Nzuri tu vipi wewe ?
Kuna picha yako umevaa wigi niliiona nika connect dots yawezekana ni wewe, kumbe ni wewe.
Kwa hio Tinsley ukataka kunipiga chenga kwamba sio wewe?Nzuri tu vipi wewe ?
tupia ya lunch basi.. 😎Guu la kimataifa
nzuri .ndo unaniona muda huuHabari ?
Sasa kwanini hutaki kuamini nimekumiss
Yani nikikumbuka zile moment zako za ubishi humu huwa nacheka
Ahsante nikija nitakuletea tilapia.













hahahahaha. Nafuatilia huu mjadalaKwa hio Tinsley ukataka kunipiga chenga kwamba sio wewe?
Kuna picha yako umevaa wigi niliiona nika connect dots yawezekana ni wewe, kumbe ni wewe.
Hapana nimekuona mudanzuri .ndo unaniona muda huu
ukapotezea.hahahaha.week end inaendajeHapana nimekuona muda
Nisameheukapotezea.hahahaha.week end inaendaje
Ntaigusa taratibu hautastuka bali utajisikia raha ya amina milele😂Wee
Miguu yangu mimi mwenyewe nikijishika tu nastuka..naogopa mno kujitekenya..mwili unasisimka..sembuse mtu aishike??
EwaaaHiki kimini cha leo ni bwana wa majeshi asimame tu kwakweli hakuna namna.
Stay tuned baadae kimini skirt kitaonekana kikiwa kimeuvaa mwili.
View attachment 2197548
Ah wapi😂😂😂Ntaigusa taratibu hautastuka bali utajisikia raha ya amina milele😂
😁😁😁Aisee
Kuna watu mna kumbukumbu.
Sijui kwanini mimi ni mzito mno kuweka picha ya sura ya mtu kichwani hadi nikutane naye mara nyingi.
Hapana,Mimi ni mmakonde sister mjedaMkuu wewe ni mnyakyusa? Kwa mbali umefanana na jamaa mmoja hivi humu anajiita Emery Paper na hajaonekana kitambo!
huyu safi kabisa.. hakijatumikammmh
Kwa maelezo yako inaonyesha ni yeye.😁😁😁
Namkumbuka vizuri sana.
Asante sn..nimescreen huu ushauriProtein kwa sana. Epuka vyakula vya mafuta. Kunywa maji ya kutosha. Piga tizi progressively (ukipiga push ups 100 leo, wiki ijayo ongeza mwili usizoee). Pata muda wa kutosha wa kulala. Pumzika angalau siku mbili bila tizi (hapa ndio mwili unakua). Cha muhimu zaidi, usiwaze sana kuvimba.
🤔Sio mimi ndiyo , duniani wawili ..
Anha ile picha .. nimefanana na nani huyo jamani ?
NimekupataUmenipata au bado?