Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulifika pale ulikua na tatizo kwenye hospitali ya wakorea, sijui ni shida gani uliyokuwa nayo, tulikaa pale pamoja, rafiki yangu alikiwa akihudumu hapo.

Nami nilifika pale nilikua na tatizo la kiafya, nikamuuliza nurse mmoja kama yule dokta wa kikorea anaweza kunielewa nikimwambia kiswahili akanambia "anaweza kuongea kiswahili kuliko hata wewe" halafu akacheka, nikamwambia "acha utani" huku nacheka, nakumbuka vyema sana.

Sasa nilijipiga selfie pale nilikuwa na Nokia Lumia ukawa umetokea kwa nyuma.

Sijui kama unakumbuka ama?

Na kawaida yangu huwa simsahau mtu.. au si wewe?

Hahaha samahani napenda kucheka ngoja nicheke kwanza .
Nimependa ulivyoelezea mwenywe step by step nikuulize nilikuwa na nani pembeni ?

Hapana sikumbuki yaani .. itakuwa si mimi .
 
Hahaha samahani napenda kucheka ngoja nicheke kwanza .
Nimependa ulivyoelezea mwenywe step by step nikuulize nilikuwa na nani pembeni ?

Hapana sikumbuki yaani .. itakuwa si mimi .
Ulikua na mwanamke wa makamo hivi.
Ah basi itakua nilikufananisha

Lakini pia English Masaki nilishaona mtu kama wewe.

Ujue kinachopelekea niku mark unafanana saaana na mtu fulani, thats why naku mark sana, ila leo nikaona nikutolee uvivu.
 
Ulikua na mwanamke wa makamo hivi.
Ah basi itakua nilikufananisha

Lakini pia English Masaki nilishaona mtu kama wewe.

Ujue kinachopelekea niku mark unafanana saaana na mtu fulani, thats why naku mark sana, ila leo nikaona nikutolee uvivu.

Okay nilienda hapo kwa tiba ya Ulcers na Mama
Ila ni muda sana umepita .

Hapo English Masaki bado sijaenda ..nimepanga tu siku niendapo vipi unasali hapo ?

Huwa naambiwa nimefanana na watu wengine mara nyingi ... Kwako itakuwa nimefanana mtu mwingine
 
Ulikua na mwanamke wa makamo hivi.
Ah basi itakua nilikufananisha

Lakini pia English Masaki nilishaona mtu kama wewe.

Ujue kinachopelekea niku mark unafanana saaana na mtu fulani, thats why naku mark sana, ila leo nikaona nikutolee uvivu.
Aisee

Kuna watu mna kumbukumbu.


Sijui kwanini mimi ni mzito mno kuweka picha ya sura ya mtu kichwani hadi nikutane naye mara nyingi.
 
Back
Top Bottom