Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Acha kunifanya nikomaze fuvu.
Anyway ni wewe na umekiri ulikuwa na bi mkubwa wako.
Kwa kweli nimefurahi baada ya miaka mingi, kuna siku nitakuja mtaani kwenu hapo.
Hahhaha aisee
Mtaa upi huo ?
Acha kunifanya nikomaze fuvu.
Anyway ni wewe na umekiri ulikuwa na bi mkubwa wako.
Kwa kweli nimefurahi baada ya miaka mingi, kuna siku nitakuja mtaani kwenu hapo.
Hadi jion rafikitupia ya lunch basi.. 😎
Nimepisha na tayari na mda dah🥲Hadi jion rafiki
HakikaLadha yake mpaka ubongoni unasikia harufu flanii hivi nzurinzuri.
😁😁😁Kwa maelezo yako inaonyesha ni yeye.
Jamaa unaelezea hadi nukta🙌..you're too smart kichwani.
hkn kosa umefanya. Nauguza gotiNisamehe
Weekend inaenda vyema vipi wewe ?
Ooh thankshkn kosa umefanya. Nauguza goti
Mtaa siujui,Hahhaha aisee
Mtaa upi huo ?
Kwa nini ?jioni haijafika badoNimepisha na tayari na mda dah🥲
Siyo wote tunaweza.
Haaah,
Mbona kukariri mtu vyepesi sana, haihitaji uwe smart.
Anha okayMtaa siujui,
Mtaa si unaniambia tu, mbona hivyo?
Yep, tupo tofauti tofautiSiyo wote tunaweza.
Wengine hadi tumuone mtu kuanzia mara 3 na kuendelea.
Mi mwenyewe mswahili au we mzungu?Anha okay
Karibu ila utapaweza uswahilini huku
Mswahili piaMi mwenyewe mswahili au we mzungu?
Inawezekana kweli ulinikumbuka mimi
Hivi nilikuwa mbishi eeh???
Nimepunguza sana siku hizi
Ewaaa nawasubiri hao tilapia fish
Naomba sasa mwaka huu uselfike jamani...tangu mwaka juzi tunakusubiri selfie yako hapa.
Haya bwana, mchana mwema mtoto mzuri.Mswahili pia
OkayHaya bwana, mchana mwema mtoto mzuri.
Hatimaye nimejua wewe ni mtoto mzuriOkay
Likewise
Ndoa imemtulizaUmepunguza kwanini sasaau umechoka kubishana?
Nitaselfika tu usijali.
