Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi Jua kali ni nzuri eehh! Yani mimi drama za kiswahili naangalia huba tu...za mbele ndio napenda mnooo!
Kiasi chake

Naangalia

Halafu naenda kusimulia

Totoz za kigali


Niliwaonyesha picha nilipiga

Bahati mbaya na Diamond

Hapo mlimani

Nikawaambia jirani yangu huyu


Wakaamini

Halafu ndo vile
 
Haya mambo hayana fomyula mtumishi. Ni sandakarawe ya kukata na shoka yaani (japo makosa mengi anabebeshwa mwanamke)....Mungu na Awasaidie sana kwa sababu hakuna namna ila ni mtihani wa kutisha mno!

Huyu dadake na Junia hapa yeye kasema hatakaa aolewe ila ikiwezekana atapenda kuwa na katoto kamoja tu. Nami huwa namuunga mkono. Ila najua pengine atabadili msimamo akikutana na tall dark guys huko medical school. Baadhi ya magazeti yako unayoandikaga humu (kama lile la leo) nimeyasevu nitamtafsria awe anayasoma. Asante sana kwa huduma yako yenye upako
 
Duh mtu miaka inakatika tu haoi.
Si aoe muendelee kutafuta pamoja.


Unadhani upo kwenye mahusiano kumbe upo single,,,anakuja mtu mzuri tu unamuacha.
Aisee akija mzuri tutembee naye mbele .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…