Selfika na JF: Snap it. Show it

Uchumba nao ukishakua sugu ndio utakuta vijana wanasema ni warm up. Poleni sana warembo, tunajua mnapiyia mengi sana.

 
With such a big call; Mtumishi wa Mungu ilikuwaje akachagua mwanamke wa aina hiyo hata kama ke alifake kuwa mwema? Ila Watumishi nao wana mapito jamani, Mungu awasaidie
Kanisani anaenda..
Ukimkuta hautaweza kumdhania..

Unajua kanisani nako Kuna watu ambao si wa kanisani🙃
 
Jamii inapenda kulaumu tu lakini there’s a story behind ya mdada ambaye anaonekana amechelewa kuolewa.. tena story ya kuumiza..
Wanaume wanaambiana huko 97% hawaoi wadada waliosota nao 😀😀 sababu kibaooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…