Wewe acha hizo bwana mwanamke mrembo na tabia nzuri hawezi kmwenkukosa mume in time. Tatizo lenu semeni ukweli kuna vijitabia ambavyo vinakinzana na uwezekano wa nyie kuwa wifeSidate mume wa mtu na muda wakuolewa ukifika nitaolewa tu.
Wewe acha hizo bwana mwanamke mrembo na tabia nzuri hawezi kmwenkukosa mume in time. Tatizo lenu semeni ukweli kuna vijitabia ambavyo vinakinzana na uwezekano wa nyie kuwa wifeSidate mume wa mtu na muda wakuolewa ukifika nitaolewa tu.
Sio current Prof, ngoja tusubiri sensa ya mwaka huu. Hii ni ya 2012Hivi kwa Tanzania takwimu zetu zikoje kuhusu idadi ya wanawake kwa wanaume? Zinakaribiana au kuna mpishano mkubwa? Kuna kitu nitakuuliza nikipata hizo data kwanza.
Na jicho flani makapu, nikikukata utanyamaza mwenyewe 🤣🤣Kwahiyo huwa unasemaje na Watu wamekuuliza😂
Kuna wanaume hela hawana na bado ni washenzi 😂Haya ushauri ndio huo mlishapewa kazi kwenu....sii mlikuwa mnatusema sie wanaume wa jf hatuna hela kumbe hamjui sie ndio wanaume bora kimbilie hao wa mihela wasasambue mbususu zenu.
Maana yangu siwez ingia love connect kutafuta bwana wakat naweza pata hata kwene mizunguko yangu. Alaf nilikuambia huyo mwanaume nilishaachana nae hata mawasilianao nae sina.Wewe wa humu ndio hao wa mtaani...tena unaweza kuta huyu handasome boy anaye kupa bp na shell ndio tunapigana nae atory kitaa anatuambia jinsi unavyo msumbuaga na text zako na jinsi anavyolichapaga takoo wakati wa style pendwa ya chuma mboga
Wivu tu hapo hana jipya mama yuleSasa Mange yeye anaumia wapi? Lulu kama alianza kudate akiwa mdogo yeye inamuhusu nini? Mbona sioni cha maana alichoandika Mange kweli roho mbaya na wivu wa kijinga kazi sana.
Sasa wee ulishanisikia mie humu jf nikisema kiwa nina date na mwanamke? Mie ninamwambia mwanamke ukwwli kuwa am not a one woman man love me at ur own peril. Wee ukiwa na mie unue tutaishia kuwa sexmates tuu.Wewe una ndoa ngapi hadi sasa ukipigia idadi ya uliodate nao
Haya ushauri ndio huo mlishapewa kazi kwenu....sii mlikuwa mnatusema sie wanaume wa jf hatuna hela kumbe hamjui sie ndio wanaume bora kimbilie hao wa mihela wasasambue mbususu zenu.
Mmh nani amesema hamna hela?Haya ushauri ndio huo mlishapewa kazi kwenu....sii mlikuwa mnatusema sie wanaume wa jf hatuna hela kumbe hamjui sie ndio wanaume bora kimbilie hao wa mihela wasasambue mbususu zenu.
Tuone Hilo jicho 😃Na jicho flani makapu, nikikukata utanyamaza mwenyewe 🤣🤣
Kuna mmoja nilimjibu afu nikamjibutena… lile la mwana ukome
Basi kubalini kuwa michepuko huku mkifaidi mihela na kupelekwa dubaiKuna wanaume hela hawana na bado ni washenzi 😂
Tunawatafuta wenye akili+utafutaji.Basi kubalini kuwa michepuko huku mkifaidi mihela na kupelekwa dubai
Mtafuta unique flower kama sikosei alisema hivyo.Mmh nani amesema hamna hela?
Mange anazingua sana. Video inahusu nini mama mie sijaonaUmeona video aliyoweka Jana?
Amemjibu..eti Lulu akiwa anatafuta Hela ya ujenzi
Yaani hawa ni washenzi sana![]()
This is excellent. Hata swali nililotaka kuuliza haliuliziki tena....Asante!Sio current Prof, ngoja tusubiri sensa ya mwaka huu. Hii ni ya 2012View attachment 2195157
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wenye akili na utafutaji sii wapo hapa jfTunawatafuta wenye akili+utafutaji.
Mange limelipua bomu .
Limeachia video ya mwenzie yaani
Umbea sipendi ila unanifikiaga tu..
Kuna group Moja la shule nipo basi huwa wanaweka kila kitu huko ..
Mimi nastukia tu gallery yangu imejaa mapichapicha.
Khaaaa huwezi amini nimetamani kujua ulitaka kuuliza nini?😁😁😁This is excellent. Hata swali nililotaka kuuliza haliuliziki tena....Asante!
Kwa mujibu wake anasema video inahusu lulu akiwa kutafuta hela ya ujenzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mange anazingua sana. Video inahusu nini mama mie sijaona
Wewe umeoa?Wewe acha hizo bwana mwanamke mrembo na tabia nzuri hawezi kmwenkukosa mume in time. Tatizo lenu semeni ukweli kuna vijitabia ambavyo vinakinzana na uwezekano wa nyie kuwa wife