Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sema ukweli banaNaona wewe ndio umeamua kuongeza taharuki ambayo inaelekea kutokea hapa...
Sema ukweli banaNaona wewe ndio umeamua kuongeza taharuki ambayo inaelekea kutokea hapa...
@lizarazu ndio huwa ananichosha. Kama bado sijala sijisumbui kusoma quote yake maana baada ya sentence moja lazima niitafute oxford![]()
Ha ha ha ha kwa hiyo umezira au niku pm?![]()
Safari njema mkuuNiko seriousnakuja
Huyu Ni habari nyingine.Sasa wakiitwa wanaotema kimalkia na mimi nitatoka kweli?? Hapana bado sijamfikia William Shakespeare (Lizarazu)!!
Kila mtu anajua eti sema tumetofautiana tuu kwenye ujasiri wa kuandika. Maana hawashindwi kusema "bora uandike tuu kwa kiswahili"siyo sana











Jamaa alikuwa anaelekea kwenye utapeli asingewahiwaApewe tu balon d or yake


Alianza lini eti kukumendea pm
Noted...Am just here waiting....I dunno yet but will let you know.
Eti?
MessiEti?
Yaaaniii nimesahau yoote tuliyokuwa tunasemea dear, tuanze upya sasahapana sio kwa wote
Nafikiria kuiacha baada ya kuita kingereza ni "prisoner "Umeacha kutumia 'gugo transileti'??





.
Sawa handsome boy nakupm na wewe niandalie kapicha chako. Sawa?Daah fanya hivyo cute embu nipm.