Bonge moja la bifu aisee
Mange kaanza kusema lulu kachafua Hali ya hewa wahi kwa app , sasa lulu akaja kushusha povu kwenye comment aisee kumbe Mange naye alikasirika akaanza kufukua makaburi aisee na kuanza kumsema mama yake lulu dah . .
Kaweka picha za lulu enzi yuko na vibukta aisee huku anamchamba baadae. Insta wakafta post anayomchamba ndo amehamia kwenye app huko msuto unaendelea
Nampenda lulu kwa hili Mange amekosea sana yeye amegeuka kuwa bully kwa wasanii kila siku yupo na umbeya usio na faida ..
Napenda ubuyu ila Hadi nimemunfollow Mange aisee linakera