Sasa single but not single sii maana unaibanmali ya mutuNani kazungumzia mambo za sharing?
We’re single for not being married, but we’re not singlee sababu we dating.
Sasa single but not single sii maana unaibanmali ya mutuNani kazungumzia mambo za sharing?
We’re single for not being married, but we’re not singlee sababu we dating.
🤣🤣🤣🤣🤣 si ndiyo KelUna nini lakin![]()
Iv Mange na Lulu wana ishu gani hii sijasikiaAisee inakera muda mwingine ukute sasa hata huchagua watu kihivyo .. upo zako tu unasubiri aje anayefaa tu .
Ni fikra tu za watu ,Halafu wao wanahisi wanaume ni waoji kumbe si wote .. wengine Ni wapitaji tu .
Wanawake inabidi tutiane moyo ila inakuwa otherwise kama ishu hii ya lulu na Mange aise sio fair kabisa![]()
Yaani kuolewa usiolewe wewe halafu anayehangaika mwingine.
Yaani sisi watanzania bwana
Wanasababisha watu wajisikie vibaya..yaani nakuelewa sana.
Mimi pia nina dada yangu,huwa najaribu kumuweka sawa kwamba asitafute kuridhisha watu ambao hata hawamnufaishi kwa chochote.
.
.Achana nao hii dunia ukisema ufanye mambo kuwaridhisha walimwengu utakufa kabla ya wakati. Nakutana sana na watu wa aina hii wakianza huu ujinga nanyamaza wakiendelea ni jibu moja tu wote kimya wasinipangie.Kuna rafiki zangu wawili
Kwa nyakati tofauti wananiambia
Hivi D si uzae hata katoto kamoja!?
Tumbo ninalo Ok, nazaa na nani sasa? Hawa watoto wa mama mkwe waliolamba ugolo? Hapanaaa![]()
ShindwaaaaTatizo nyie ndio mnakuja kuwa michepuko ya hao waume zao

Ni ubinafsi mkubwa sana kuzaa kisa tu wewe umejisikia kuwa na mtoto bila kujali welfare ya mtoto wako. Wewe utapata raha una mtoto; huyo mtoto atapata raha kuwa na baba asiyeeleweka? Sidhani kama kuna mtoto anayetamani kuzaliwa In a broken relationship, alelewe na mzazi mmoja kwenye simu. Hawa wababa wenyewe ambao tunaishi nao ndani lakini malezi yote anayafanya mama; sembuse baba aliyepo mbali. Tuwahurumie hawa watoto aisee, tusiwape trauma zisizo na msingi intentionally kisa tu matamanio yetu ya kuitwa mama.Kuna rafiki zangu wawili
Kwa nyakati tofauti wananiambia
Hivi D si uzae hata katoto kamoja!?
Tumbo ninalo Ok, nazaa na nani sasa? Hawa watoto wa mama mkwe waliolamba ugolo? Hapanaaa![]()
Japo kuzaa mapema ukapumzika zako pia kuna raha yake!!!!Kuna rafiki zangu wawili
Kwa nyakati tofauti wananiambia
Hivi D si uzae hata katoto kamoja!?
Tumbo ninalo Ok, nazaa na nani sasa? Hawa watoto wa mama mkwe waliolamba ugolo? Hapanaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenzako nilipigwa na kitu nzito kichwan mama nipo singlesi ndiyo Kel
Bonge moja la bifu aisee

Ila uzae kwa utaratibu sahihi. Sio unazaa unaokoteza mababa huku na kule kisa kuzaa mapema raha. Kesho na kesho kutwa watoto wanavyoanza kuulizia mbona hawawaoni baba zao, utajutia sana ubinafsi wako.Japo kuzaa mapema ukapumzika zako pia kuna raha yake!!!!!!
Wa humu siwataki, nitapambana na wa mtaani kwanguAh kumbe...basi wek tangazo love connect watu watumw cv zao. Unaweza pata
Hapana.Sasa single but not single sii maana unaibanmali ya mutu
Yaani hadi wewe wanakutishia?Kuna rafiki zangu wawili
Kwa nyakati tofauti wananiambia
Hivi D si uzae hata katoto kamoja!?
Tumbo ninalo Ok, nazaa na nani sasa? Hawa watoto wa mama mkwe waliolamba ugolo? Hapanaaa![]()

yeah kwa utaratibu sahihi... Lakini changamoto ya umri pia itawatesa sana wanawake na jamii sijui kwanini huwa inawachukulia tofauti wanawake ambao umri umeenda ila hajaolewa tofauti na mwanaume ambae umri umeenda ila hajaoa... Hivi Kwanini??Ila uzae kwa utaratibu sahihi. Sio unazaa unaokoteza mababa huku na kule kisa kuzaa mapema raha. Kesho na kesho kutwa watoto wanavyoanza kuulizia mbona hawawaoni baba zao, utajutia sana ubinafsi wako.
Ni kweli kabisa, ila sio tu ndiyo uzae ili mradi.Japo kuzaa mapema ukapumzika zako pia kuna raha yake!!!!
WeweYaani hadi wewe wanakutishia?
Mbona bado mdogo.