Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hivi ni kwamba wanafata mawe?Tufundishe watoto wetu wa kike kujitegemea na kutokua na tamaa.
yaani wanapangwa so sad, wazingatie tu afya.
Hivi ni kwamba wanafata mawe?Tufundishe watoto wetu wa kike kujitegemea na kutokua na tamaa.
yaani wanapangwa so sad, wazingatie tu afya.
Ngoja tuanze na zoezi letu la kujiscrub
Mwaka huu ni urembo kwa kwenda kundasi![]()



nataka nikae nitafute vipodozi vinavyoendana na hukuUmeona eeeh?Nkamu nimekubali hali ya hewa ya Dodoma inapausha na hapo sijawahi kaa hata week mbili mfulululizo….. ila nikikaa siku tano naanza kuona mbona kama napauka flan hivi….hapa nna mawazonataka nikae nitafute vipodozi vinavyoendana na huku
Hivi ni kwamba wanafata mawe?
Umeona eeeh?Nkamu nimekubali hali ya hewa ya Dodoma inapausha na hapo sijawahi kaa hata week mbili mfulululizo….. ila nikikaa siku tano naanza kuona mbona kama napauka flan hivi….hapa nna mawazonataka nikae nitafute vipodozi vinavyoendana na huku
Umeona eeeh?
Kwanza Dom maji yake tu magumu sana ..hakufai.
Tafuta tu chaurembo wetu.
Si kila mtu anakuwa naye kwa wakati tofauti..wanatesa Kwa zamu.Sasa wanafata nini Nkamu?
mnapangwa na kuchezewa ni nini cha maana labda hela Nkamu
Hata usipozurula,bado yale maji ni magumu mno..yatakupausha tu.na hapo huwa najitahidi kutozurula kazini nyumbani

Enzi zetu hizo mzee mwenzangu. We were real men back thenView attachment 2192786View attachment 2192787
Enzi zetu ili uweze kupata mchumba/mke ni lazima uwe na historia ya kupambana na mmoja wa Wanyama hawa
Nilipowaona humo nikatamani nikumbushie enzi, bahati tu umri umenitupa mkono
Hello Tuesday![]()




Hadi ukipewa huyo mkeEnzi zetu hizo mzee mwenzangu. We were real men back then
View attachment 2192942View attachment 2192945

utakuwa umechokasanaAisee nyie tu ndo mnahisi hivyo..Ok sasa nimeelewa y hamtaki kuwa michepuko.....ila mbona nyie hamtaki sie tuteke mioyo yenu ila pesa zetu ndio ziteke moyo?
Mulangira bana. Ukizeeka unakuwa huna haja ya kulala sana. Masaa matatu tu yanatosha. Vipi bado uko mkoa? Familia Dom hawajambo?Mkuu unachelewa kulala unawahi kuamka. Nini tatizo, wajukuu wanasumbua?
Kwa hiyo high class ladies ndio wao wanaangalia ndalama hawataki kuteka moyo....basi njoo uteke moyo wanguAisee nyie tu ndo mnahisi hivyo..
Wewe naelewa unatoka pisi iliyo high classic... inategemea unatoka na mwanamke gani .
Si kila mtu anakuwa naye kwa wakati tofauti..wanatesa Kwa zamu.
Sasahivi naona mrembo mpya anaimba pambio kama zote na kuona maisha ameyapatia.
Hata usipozurula,bado yale maji ni magumu mno..yatakupausha tu.
Hatujagiusa jua hapo na upepo wa kishenzi![]()


huu mkoa nimalize tu lililonileta niondokeAisee poa sana yaani... !!! Vipi wewe salama?Mambo rafiki![]()
Ndalama ndo nini ? Ukipendwa kuna raha yake ujue ..Kwa hiyo high class ladies ndio wao wanaangalia ndalama hawataki kuteka moyo....basi njoo uteke moyo wangu
Nkamuhuu mkoa nimalize tu lililonileta niondoke



mwee upende tu mkoa wetu