Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Haya boss wetuHahahaaa... Hapana nawatania sijanyoa nakomaa nazo hivihivi kibishi

Kuwa main chick kuna raha yake bhana... Mambo ya kuhudumia sio muhimu sanaKwani jamani sii mmesema kuwa cha msingi huduma. Haya mambo ya kutaka kuwa main chick yanatoka wapi tena
Maandalizi ya mwezi wa sita au sioo badae usisahau kuanza andaa ile list.. kwani wao wana hela 😀😀😀Dah vinatamanishaje....ila sasa waguse utasikia wanaume wa jf hawa hela🤣🤣🤣🤣
them shoe
nakuja kuchukua hiko kiatu
Mnatuchanganya ujue nyie warembo...sasa ikuwa mamabo ya kuhudumia sio muhimu ila kuwa main chick muhimu....kwani wee unadhani main chick anamzidi nini mchepuko?Kuwa main chick kuna raha yake bhana... Mambo ya kuhudumia sio muhimu sana
Nimekumbuka Chuichui Day ya wanyaki!! Ngozi softiiiii...guu la bia

Mnatuchanganya ujue nyie warembo...sasa ikuwa mamabo ya kuhudumia sio muhimu ila kuwa main chick muhimu....kwani wee unadhani main chick anamzidi nini mchepuko?
Kwanza kuwa mchepuko raha wee kazi yako ni kula bata na jamaa basi no expectations.

. Kumbeee ishu ni kuteka moyo...sasa sii mngesemaga mapema bwanaKila mtu ana preference zake rafiki
Main chick ndo ameteka moyo wa mwanaume na sio hao michepuko.
Acha wanaoweza kuwa michepuko waendelee na mambo yao ...
Ebu wee leta picha yako tuone huo msambwandaNimekumbuka Chuichui Day ya wanyaki!! Ngozi softiiiii...guu la bia
😂 😂 😂 Hayo matukio wanayafanya na nani? Wao kwa wao?na kwa matukio hawa viumbe wapo vizuri sana
Miguu imenimotivate kuvaa socksNkamu wangu mimi![]()
Kuteka moyo ni muhimu aiseeKumbeee ishu ni kuteka moyo...sasa sii mngesemaga mapema bwana
Ngoja tuanze na zoezi letu la kujiscrubNkamu niache![]()





Ok sasa nimeelewa y hamtaki kuwa michepuko.....ila mbona nyie hamtaki sie tuteke mioyo yenu ila pesa zetu ndio ziteke moyo?Kuteka moyo ni muhimu aisee