CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,065
- 7,651
Missing you tNdalama ndo nini ? Ukipendwa kuna raha yake ujue ..
Mie mshamba aisee siwezi kuuteka moyo wako .
Missing you tNdalama ndo nini ? Ukipendwa kuna raha yake ujue ..
Mie mshamba aisee siwezi kuuteka moyo wako .
Missing you moreMissing you t
Karibu sana DodomaNkamu nimekubali hali ya hewa ya Dodoma inapausha na hapo sijawahi kaa hata week mbili mfulululizo….. ila nikikaa siku tano naanza kuona mbona kama napauka flan hivi….hapa nna mawazo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nataka nikae nitafute vipodozi vinavyoendana na huku
Doin great,,, havn a gud day?Missing you more
Habari ya leo rafiki
Mzima wewe ?
mbaya aiseehDoin great,,, havn a gud day?
Salama rafikiAisee poa sana yaani... !!! Vipi wewe salama?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwee upende tu mkoa wetu
Karibu sana Dodoma
Ndalama sii pesa mrembo....sasa washamba wao ndio hawatakinteka mioyo ya wanaumeNdalama ndo nini ? Ukipendwa kuna raha yake ujue ..
Mie mshamba aisee siwezi kuuteka moyo wako .
Unaondoka Jiji letu pendwa?
Pesa ina majina mengi eehNdalama sii pesa mrembo....sasa washamba wao ndio hawatakinteka mioyo ya wanaume
AiseeNkamu sijamuona[emoji23]
Anne upo vizuri [emoji16][emoji16]Aisee
Nkamu basi wewe kwenye umbea upo level za chini kabisa,ndio unachipukia[emoji38]View attachment 2192981
Aisee
Nkamu basi wewe kwenye umbea upo level za chini kabisa,ndio unachipukia[emoji38]View attachment 2192981
Unaondoka Jiji letu pendwa?
Mwe mwe 🙆🏾🙆🏾🙆🏾Inaendelea badoSi kila mtu anakuwa naye kwa wakati tofauti..wanatesa Kwa zamu.
Sasahivi naona mrembo mpya anaimba pambio kama zote na kuona maisha ameyapatia.
Ata mbususu ina majina mengi...vitu vitamu lazima viwe na majina mengi 🤣🤣🤣🤣Pesa ina majina mengi eeh
Washamba sisi mpaka tuteke moyo si rahisi maana nyie mna criteria zenu .
Ata mbususu ina majina mengi...vitu vitamu lazima viwe na majina mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Criteria kila mtu anazo inakusaidi ku focus attention yako kwa vitu muhimu lah sibyo hikinkichwa huku chini willl hump anything as long as it has two legs
Nkamu😂Anne upo vizuri [emoji16][emoji16]