Selfika na JF: Snap it. Show it


 
Tufundishe watoto wetu wa kike kujitegemea na kutokua na tamaa.

yaani wanapangwa so sad, wazingatie tu afya.

Nadhani hasa ni suala la kujitambua na binti kujijua thamani pamoja na utu wake. Wapo mabinti ambao hata kama hajaweza kujitegemea huwezi kumtingisha hasa kama akijua kuwa lengo lako ni kumshushia tu thamani yake na kumdhalilisha utu wake. Mabinti kama hao, japo wanazidi kupungua kila kuchao, bado wapo na wanastahili heshima ya pekee sana...na ukimbahatisha inabidi ukomae naye sana maana kama na wewe mwanaume ukiwa na akili nzuri aisee mtafika mbali sana maishani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…