weeeeeeeehhh za kawaida sana mama mchungaji Acha Utani!!! Hiko kipindi Nilikoma !! Mtu unaanzishiwa nyuzi pipoz kama zote zinakunanga na kukuchamba juu plus bwana yupo huru anajiachia nakuutetea upande wa pili live live Huku watu wanaona wewewewewewewewe!!Aaah hizo ni nyuzi za kawaida sana. Mahusiano yenu yalikuwa public cc kama zote; all of a sudden cc zimepotea; kweli ulitegemea watu wasijiulize maswali? Nyuzi za hivyo zisikukoseshe amani; ni gharama tu ndogo ya mahusiano ya public; with time yatapita tu
Maybe cc wa saizi haiamini nafasi yake, au anapenda tu league, au anahisi labda wewe bado ni threat kwake which isnโt true.. ndo mana mashambulizi yamekurudia kwa kasi.. maybe.. nimesema tu jamani..Yalishapita ila nashangaa yameibukia wapi wakati hapa Kati hali ilikua shwari kabisa kila upande ulikua na furaha na amani teleeee.. ghaflaa tu yameibuka. something fishy !
Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...Sasa tuliachana kitambo ujue .... sijui imekuaje tena.. Sijui..
Aache kwenda kumhonga Malaika Gabrieli baunsa wa geti la kuingilia mbinguni aje afisadike kwako?Andaa bakshishi
Nilikuwa safarini nkamu, nimeshaingia home; ngoja nimuamkie baba Mchungaji; maswali yataendelea kesho aiseeEndelea kuuliza maswali fikirishi mama mchungaji tunafatilia kimya kimya haya mahojiano ujue
Ukijiamini tu Hakuna atayekuyumbisha.. Mimi siyumbishwi.. wala siyumbi since day one!Maybe cc wa saizi haiamini nafasi yake, au anapenda tu league, au anahisi labda wewe bado ni threat kwake which isnโt true.. ndo mana mashambulizi yamekurudia kwa kasi.. maybe.. nimesema tu jamani..
Pole na safari nkamuNilikuwa safarini nkamu, nimeshaingia home; ngoja nimuamkie baba Mchungaji; maswali yataendelea kesho aisee
Aisee sijui nilikuwa nimeokoka kipindi hicho; mbona yalinipita? Best friend ever..weeeeeeeehhh za kawaida sana mama mchungaji Acha Utani!!! Hiko kipindi Nilikoma !! Mtu unaanzishiwa nyuzi pipoz kama zote zinakunanga na kukuchamba juu plus bwana yupo huru anajiachia nakuutetea upande wa pili live live Huku watu wanaona wewewewewewewewe!!
Eti leo hii ......hiiiiiiiiiiiiii over my dead body!
Maybe cc wa saizi haiamini nafasi yake, au anapenda tu league, au anahisi labda wewe bado ni threat kwake which isnโt true.. ndo mana mashambulizi yamekurudia kwa kasi.. maybe.. nimesema tu jamani..
Too much sense Prof....Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...
Lakini itabidi ifike mahali Boss Lady uachane na hizi drama. Hata kama siyo kwa ajili ya mumeo. Do it for the sake of your kids. Vimalaika vyako vile vyema. Mambo ya mitandaoni humu huwa hayafutiki. Watakua na kuyakuta tu....
Uko mrembo hasa mama halisi wa Kiafrika. Msomi!...Sioni sababu ya ulimwengu wote kufahamu mambo yako ya private...labda kama ni strategic na unajua unachokifanya....After all ni maisha yako na una uhuru kamili wa kuyaishi utakavyo japo....
Kuna watu wanapenda hivyo dear, kikubwa ni kufunga milangoo yoote na kukaa zako kimya basi.. kuna watu ni wachokozi sana, mimi naamini ukiona mtu anakusema sema plus mafumbo sijui nini.. ujue Wewe ni threat kwake..Sasa league namtu don't care mbona utakauka koo lako bure!
Ndaga nkamu. Usiku mwema piaPole na safari nkamu
Salamu nyingi kwa baba mchungaji
Uwe na usiku mwema mkuu
Uwe na usiku mwema pia boss ladyHuko usiguse utanisababishia nitoe taarifa ambazo sipendi kuzitoa afu mie sipendagi vurugu wala kutoa taarifa Binafsi za watu! Nivile tu Kuna mtu Juzi nilienda kumuomba ushauri pm akanisaliti! Na vurugu ndio zikaanzia hapo!! Akhsanteni๐๐๐๐
Muwe na Usiku mwema
No further questions!
Uwe na amani bosi ledi. Ahsante sana, uwe na usiku mwema pia.Huko usiguse utanisababishia nitoe taarifa ambazo sipendi kuzitoa afu mie sipendagi vurugu wala kutoa taarifa Binafsi za watu! Nivile tu Kuna mtu Juzi nilienda kumuomba ushauri pm akanisaliti! Na vurugu ndio zikaanzia hapo!! Akhsanteni๐๐๐๐
Muwe na Usiku mwema
No further questions!
Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...
Lakini itabidi ifike mahali Boss Lady uachane na hizi drama. Hata kama siyo kwa ajili ya mumeo. Do it for the sake of your kids. Vimalaika vyako vile vyema. Mambo ya mitandaoni humu huwa hayafutiki. Watakua na kuyakuta tu....
Uko mrembo hasa mama halisi wa Kiafrika. Msomi!...Sioni sababu ya ulimwengu wote kufahamu mambo yako ya private...labda kama ni strategic na unajua unachokifanya....After all ni maisha yako na una uhuru kamili wa kuyaishi utakavyo japo....
๐๐๐Tulale sasa jamani. Kesho nayo siku. Thanks Bosi Ledi kwa interview nzuri. Be blessed everyone
View attachment 2192480
Jf Hayupo na nishamsimuliaga everything kuhusu jf ....! Everything nikatubu kabisa..
Kabisa. Wengi tu walikuwa wanajiuliza kimoyomoyo kama sisi; leo tumepata fursa