Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Huyu wa sasa akiachwa sijui ataficha wapi Id yake jamaniii😬😬Yaani tena siyo ombi
Ni lazima![]()
Huyu wa sasa akiachwa sijui ataficha wapi Id yake jamaniii😬😬Yaani tena siyo ombi
Ni lazima![]()
Mimi nawaza ghafla mumewe anaibuka na kuinyaka picha matata ya boss wetu humu amebinuka serekasi.Kwa kweli. Wanaume ikija kwetu ni no excuse ya kuchepuka.
Ashikilie ndoa yake, na heshima yake yeye binafsi pamoja na mumewe. Kila siku unahusishwa na drama za ex mchepuko; kwako binafsi tu sio heshima
Sihusiki hata chembe... nilishatoka huko kitambo Ndiomana huwa napuuzia mie nakuendelea na yangu kwakua nothing matters to me anymore!Kwa kweli. Wanaume ikija kwetu ni no excuse ya kuchepuka.
Ashikilie ndoa yake, na heshima yake yeye binafsi pamoja na mumewe. Kila siku unahusishwa na drama za ex mchepuko; kwako binafsi tu sio heshima
Ameupiga mrefu huyu ChiefMkurugenzi apate energy drink
🥂Basi sawa![]()
Huyu wa sasa akiachwa sijui ataficha wapi Id yake jamaniii![]()










Aisee hata kama hayupo humu; nahisi atakuwa amemuweka hata spy awe anamfuatilia mkewe. Sio rahisi mtu kuamini kila kitu na kumpotezea.Mimi nawaza ghafla mumewe anaibuka na kuinyaka picha matata ya boss wetu humu amebinuka serekasi.
Maana kama alitubu na kumwambia kila kitu sidhani kama huyo mwanaume hakuwa curious japo kusoma kilichokuwepo na kusoma kinachoendelea.
Huu ni zaidi ya ujasiri 😬😬wenzetu sijui hawana wivu au kinyongo au kinyaaa
Kuna watu ni majasiri aiseee![]()
Ni nani Kwani jamani 😃😃... she must be so insecure.. af maneno ya nini, ni kuyachulia tu mahusiano yake hayo..Huyu wa sasa akiachwa sijui ataficha wapi Id yake jamaniii😬😬
Pitia pitia kwenye uzi utawakuta huko😬Ni nani Kwani jamani 😃😃... she must be so insecure.. af maneno ya nini, ni kuyachulia tu mahusiano yake hayo..
Ahsante kwa ile niqab best ila umefuta chap...Pitia pitia kwenye uzi utawakuta huko😬
Au hakumtajia ID?Aisee hata kama hayupo humu; nahisi atakuwa amemuweka hata spy awe anamfuatilia mkewe. Sio rahisi mtu kuamini kila kitu na kumpotezea.
Ila nyie machawa khaaaa
Ngoja Heaven Sent aje adadavue hiliHuu ni zaidi ya ujasiriwenzetu sijui hawana wivu au kinyongo au kinyaaa



Hahahaaa.... naselfika kama wengine......Mimi nawaza ghafla mumewe anaibuka na kuinyaka picha matata ya boss wetu humu amebinuka serekasi.
Maana kama alitubu na kumwambia kila kitu sidhani kama huyo mwanaume hakuwana curious japo kusoma kilichokuwepo na kusoma kinachoendelea.
Inaitwa kutesa kwa zamu: ukikipata kitumie, ukikikosa kijutie teh
Kama ni mzurulaji humu JF utamjua tuNi nani Kwani jamani... she must be so insecure.. af maneno ya nini, ni kuyachulia tu mahusiano yake hayo..
mie nlidhan utani kumbe ukweli bwana ndio nashangaa hapaKwa kweli Bora umekumbuka kufanya toba😁😁😁Kwa umbea mimi jamanii mpaka sasa sijalala Mungu nisamehe kwa niliyoyatenda kwa siri na dhahili inshallah tukijaliwa kesho nayo ni siku🙏🏽