Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Una😎😎 kuna pisi nimeiona hapo imevaa kama njano sijui green hivi,, imechoma nywelee daah noma mzee,,
Binocular

Una😎😎 kuna pisi nimeiona hapo imevaa kama njano sijui green hivi,, imechoma nywelee daah noma mzee,,

Haya nasubiri nioneHapo
Pahala
UweHaya nasubiri nione

Uwe
Stand by
Honi moja tu
Ya pili napita mazima![]()

Mkuu, muziki ni maisha.. nina libraly kubwa tuu.. nasikiliza kutokana na upepooMazee, hizi Playlist unapozitoa sijui, lakini I appreciate it sana.
Hasahasa zile za The Diplomatics na za X-Plastaz,...
Nimezikiliza leo vizuri nikakumbuka mbali sana...
🙈Siku ya mateso leo😃
Leo tumefanya mazoez ya magoti
anashuka na boda boda namtazama ni kisangaa hatarii.. alafajiri nitarudi kumtazama kama yupo au lah 😎 😎 wazee wa mipira iliyokufaUna
Binocular![]()
Mafuta,kitunguu,karoti,hoho na nyanya Kwa mbaali iliyosagwa.Umechanganya
Nini kwenye hizo
Tambi best
Mrembo mwenye kicheko chakeAmu hia.![]()
Mkuu, muziki ni maisha.. nina libraly kubwa tuu.. nasikiliza kutokana na upepoo
sasa hivi nakula ngoma za mbele kimtindoo..
came to ride
(We) deal (we) stack (we) multiply
(We) stay on the grind (until) we die
And back for mo', 'cause we can't get enough
View attachment 2188933
View attachment 2188934
View attachment 2188935
enjoy

Umejuaje Wige…Mwanza![]()
Shangaziii 🔥🔥🔥🔥It aint my fault we keep dropping hits
And you cant spit like this,so am takin yo bitch.............enjoy
Hatari sana.. shangazi.. hii ngoma ina kitu chake huwa naitendea haki sana.. nikiendaga sehemu nikaelewa sound system dj lazima ale tip kwa kunichapia hii ngoma pamoja na Lloyd Banks Hands Up Closed Captioned ft 50 Cent na Dr Dre Kush ft Snoop Dogg AkonNamba 1 na tatu umecheza kwenye playlist ya shangazi ,yaani dahh oi oi oiii![]()