Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Nkamu naona unaendelea kuninyanyasaHizo siku nyingine.

Nkamu naona unaendelea kuninyanyasaHizo siku nyingine.

Mfano hapo nilikuwa shambani napalilia zangu Mahindi, nashangaa inapita juu ya kichwa Cha Mzee miye, kweli hatuna jinsi Wacha tufanye kazi tu 🤪🤪Hata tuliolala tutaamka tu kwa sababu hakuna namna. Nikutakie pasaka njema "mzee" mwenzangu
View attachment 2189467
Jana kajua kutuchomesha mahindi hadi yameunguaNdugu yangu[mention]Wigelekelo [/mention] jana ukanilaza mlango wazi nimesubiri bila mafanikio![]()
Ha ha ha ha ha ha!!!!Nkamu naona unaendelea kuninyanyasa![]()
Jana kajua kutuchomesha mahindi hadi yameungua
Nipo my dear😍Haswaaaah.
Upo dea.

Miss u moaaah.Nipo my dear![]()
Naona unaendeleza manyanyaso dhidi yangu nkamu😂Ha ha ha ha ha ha!!!!
We ndugu yangu siwezi kukunyanyasa kabisa.

@WigelekeloLeo inabidi atupooze kwa mbili..
Miss u moaaah.
Unajua mambo ya kufanya kazi na Wakoloni hayo. Pamoja na kutufundisha kazi ya Umesenja, na uvaaji walikuwa wanatufundisha hasa ikitokea Kuna sherehe nyumbani Kwa Malikia 🙊🤪🏃🏃Babu unanyuka kushinda vijana..![]()