Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,229
Nkamu naona unaendelea kuninyanyasa[emoji2][emoji1][emoji1] Hizo siku nyingine.
Nkamu naona unaendelea kuninyanyasa[emoji2][emoji1][emoji1] Hizo siku nyingine.
Mfano hapo nilikuwa shambani napalilia zangu Mahindi, nashangaa inapita juu ya kichwa Cha Mzee miye, kweli hatuna jinsi Wacha tufanye kazi tu 🤪🤪Hata tuliolala tutaamka tu kwa sababu hakuna namna. Nikutakie pasaka njema "mzee" mwenzangu [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2189467
Jana kajua kutuchomesha mahindi hadi yameunguaNdugu yangu[mention]Wigelekelo [/mention] jana ukanilaza mlango wazi nimesubiri bila mafanikio[emoji2]
Ha ha ha ha ha ha!!!!Nkamu naona unaendelea kuninyanyasa[emoji2]
Jana kajua kutuchomesha mahindi hadi yameungua
Nipo my dear😍Haswaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23]
Upo dea.
View attachment 2189450
Hello Saturday [emoji485]
Miss u moaaah.Nipo my dear[emoji7]
Naona unaendeleza manyanyaso dhidi yangu nkamu😂Ha ha ha ha ha ha!!!!
We ndugu yangu siwezi kukunyanyasa kabisa.
[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
@WigelekeloLeo inabidi atupooze kwa mbili..
Miss u moaaah.
Unajua mambo ya kufanya kazi na Wakoloni hayo. Pamoja na kutufundisha kazi ya Umesenja, na uvaaji walikuwa wanatufundisha hasa ikitokea Kuna sherehe nyumbani Kwa Malikia 🙊🤪🏃🏃Babu unanyuka kushinda vijana..[emoji2]
[emoji3059][emoji3059][emoji3059]Mimi more hanii[emoji8][emoji8]