MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
Mazee, hizi Playlist unapozitoa sijui, lakini I appreciate it sana.
Hasahasa zile za The Diplomatics na za X-Plastaz,...
Nimezikiliza leo vizuri nikakumbuka mbali sana...
Mazee, hizi Playlist unapozitoa sijui, lakini I appreciate it sana.
NakupitiaOoh thank you
Mkoa mzuri huo.
😊 Kiswahili kigumu kidogoSiku ingine/ nyingine
Sawa mkuu
Rangi ya meza mbaya, km kilinge cha mganga wa kienyeji, hivi hao watu wa hiyo sehem wanatoka sumbawanga?![]()



kumekuchaUngeniambia mapemaNakupitia
Acha dhambiUngeniambia mapema
Umenishutukiza



Hahahha hivyo hivyoPakijanja
Nilidhani
Pa kijanja![]()
Lori la sementi ndo nn rafiki ?Acha dhambi
Ama ni kuwa
Ni lori la sementi![]()
Unadhani nimesomaHahahha hivyo hivyo
Upo vizuri kwenye lugha

Hahaha upo vizuri weweUnadhani nimesoma
Mie ni std 11
Plaimali![]()

Nipe muongozo
Afu hata mie napakubali tabata.Tabata pakijanja bhana![]()