Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Hatuna busu kwa sababu ya changamoto ya korona, ujue tokea ije korona kuna taratibu nyingi sana za kiibada zimebadilika.L
Tumeshatoka
Mmebusu Msalaba kwenu? Au hujaenda..
Sijui mambo yamekuwaje, huku kwetu leo hatujabusu.. Padri kaupitisha tu waumini tunapiga ishara ya Msalaba
Heri ya siku ya Ijumaa kuu.

