Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Safi sana Shangaziii.. acha tuchape moja moja siku iishe naona siku ndefu sanaaa
Kabisa...
Safi sana Shangaziii.. acha tuchape moja moja siku iishe naona siku ndefu sanaaa
Nikikupa tu mono umeisha.. sema huku nilipo sio pazuri kama kwako.. enza kunifikiria fikiria mwezi ujaoWewe mimi Mwanamke kutoka Tanga huniwezi kama una bisha nipe mkono😀😀
Sikukuu hunialiki mkuu dah😬kweli sipendwiNikikupa tu mono umeisha.. sema huku nilipo sio pazuri kama kwako.. enza kunifikiria fikiria mwezi ujao
Aisee utanikumbusha basiMie wa zamani rafiki![]()
Kiongozi subiri kwanza ... tumalize sita.. ndio mualiko utanoga 😉 😉Sikukuu hunialiki mkuu dah😬kweli sipendwi
Teh teh sawaKiongozi subiri kwanza ... tumalize sita.. ndio mualiko utanoga 😉 😉
Ndio maana nakuelewa sanaa.. maana unaelewa kwa urahisi sana ulie kuwa moyo wangu.. sasa hivi kutakuwa na kujibana bana kwingii 🙂 🙂Teh teh sawa
We usiniambie nkamu!! Ngoja tumalize maombolezo ufanye mpango kama vipi uniweke ndugu yako 😂😂😂Yupo humu.
Utadhani mmetoka familia moja nkamu![]()
Dear ex mambo 😬😀😀Ndio maana nakuelewa sanaa.. maana unaelewa kwa urahisi sana ulie kuwa moyo wangu.. sasa hivi kutakuwa na kujibana bana kwingii 🙂 🙂
siku ya mualiko hakuna neno ex... 😀😀😀 tuna anzisha version twoDear ex mambo 😬😀😀
😬au basi nimebadilisha mchumba wa zamani vipi uko poasiku ya mualiko hakuna neno ex... 😀😀😀 tuna anzisha version two
Nipo sawa mchumba mtarajiwa wa part two .... tuonane basi nime kumiss tu na pishi la tangaa 😉 😉😬au basi nimebadilisha mchumba wa zamani vipi uko poa
😬au basi nimebadilisha mchumba wa zamani vipi uko poa
😀😀😀😀Umenichekesha huo mkono wa mtu kweli kidole kimoja kama gimbi 😬
Tumeshatoka 🤣
Nyie mmeshatoka au hujaendaa
karibu ununio.easter mondaySikukuu hunialiki mkuu dah😬kweli sipendwi