Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Handsome Mmoja mattatta sana... ile miili ya kisukuma ile
ana kifua kimoja dahh kidevu sasa!!! Afu ameenda hewani!!
Kwa upambe huu inabidi irudiwe


Handsome Mmoja mattatta sana... ile miili ya kisukuma ile
ana kifua kimoja dahh kidevu sasa!!! Afu ameenda hewani!!


Nakazia irudiweKwa upambe huu inabidi irudiwe![]()

Ili ugundue nini
Kwa mfano![]()

hebu tufanyie mambo basi..Nawahi ibadaniNione hilo bodi la mjomba wa kisukumahebu tufanyie mambo basi..

Jaman wigeNawahi ibadani
Nikirejea nitasababisha
Mzungu wangu wa roho![]()
UsiwazeJaman wige
Bye...ibada njemaUsiwaze
Binti mzuri
Ndio naingia
Malango ya kanisa
Baadae
Kabisa.. Wigelekelo mfanyie wepesi shangazi hajaona!Kwa upambe huu inabidi irudiwe![]()
😎😎 nimechukua kadogo dogooo.. lini nikatulia na mmojaKumbe umeniacha🙆🏾🙆🏾🙇🏼♀️🙇🏼♀️
Nawahi ibadani
Nikirejea nitasababisha
Mzungu wangu wa roho![]()
ShangaziiiiiBasi sawa,wasukuma huwa sio waswahili kabisa,ibada njema..
Sawa Don ccmnizoeee
Uko poa rafiki??Yes Nambie rafiki
Nilitaka kushangaa utulie nami 😀😀😎😎 nimechukua kadogo dogooo.. lini nikatulia na mmoja
Shangaziiiii
Shgazi nipo sana.. mambo mengi shangazii.. salama kabisa weekend vipiMjomba umepotea sana,salama lakini?
Nitulie na mmoja ili nigundue nini 😎 😎Nilitaka kushangaa utulie nami 😀😀