Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Yesu akafa msalabani
Kuniponya akalipa deni
Ni ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi
❤❤❤❤🤲
Kuniponya akalipa deni
Ni ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi
❤❤❤❤🤲
Acha kukaza shingoUthibitisho gani unautaka?![]()

Nilifikiri gunia za mkaaNdiyo tupunguzage kuwajudge wanaotoka kwenye ndoa zao

MieziNa wanaume walivyo,baada ya miezi anavuta kitu kipya, ushasahaulika

Ukiolewa si unakuwa freeTunafuata protokali
Mkubwa kwanza
Mimi bado nile nile ugali wa bure nyumbani weee..kwenda kupurukushana na mtoto wa mtu sasahivi bado![]()


Si ajabu angetengwa na kanisa. Shida tupu yaani. Sasa mpaka kafa!I can imagine marehemu angeamua kutoka kwenye ndoa yake; hayo maneno na masimango ambayo tungembebesha. Leo amefariki kwa kipigo, tunajifanya kusikitika. Mungu atusaidie
Imekuaje tena Nkamu 🙄
HihiiiiTunafuata protokali
Mkubwa kwanza
Mimi bado nile nile ugali wa bure nyumbani weee..kwenda kupurukushana na mtoto wa mtu sasahivi bado![]()
Tunakutegemea nkamu utuwekee zile picha zako kabambeImekuaje tena Nkamu![]()
Safi sanaBanda la kuku![]()
Mbarikiwa Mwakipesile ameitendea haki hii tenzi. Unaisikiliza mpaka unatokwa na machozi yaani...Panapo msalaba
Kinatolewa cheti
Cha kuingia Mbinguni
Kisicho cha kanisa
Usifiwe msalaba
Lisifiwe kaburi
Linalozidi yote
Asifiwe Mwokozi.
Nimecheka japo inasikitishaNilifikiri gunia za mkaa
Mtakuwa mmeelewa
Kumbe bado
Endeleeni mnyooshwe mazima
Kumbe kuna kulala bila gauni la style ya AbiudiUkiolewa si unakuwa free
Ama unaogopa kulala bila pichu![]()

Safi Meneja.Mbarikiwa Mwakipesile ameitendea haki hii tenzi. Unaisikiliza mpaka unatokwa na machozi yaani...