Bora angetokaI can imagine marehemu angeamua kutoka kwenye ndoa yake; hayo maneno na masimango ambayo tungembebesha. Leo amefariki kwa kipigo, tunajifanya kusikitika. Mungu atusaidie

Mmh siku hizi unanivizia ndiyo unapost u-shape wako?

‘Em lips
Si unajua mimi ni mkurugenziFogoooo![]()

Uthibitisho gani unautaka?Haifunguki
Ikiwa mwenye uzi
Kakuita Dada
Nifanyie wepesi
Ili nikuthibitishie![]()

You got that ka burifoo looking
Wiii
Wacha wee debbieYou got that ka burifoo looking
Eti eeeh??Kwa shepu hata Bosi Ledi haoni ndani chifu![]()
Leo sijapika
Nikajua umefungulia kuku bandaniKila kitu yani.
UmechelewaSaint Anne Si ulisema ntupie mkuu