Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Acha uongo

Acha uongo

ZinavutiaZipo nyingi
Nguvu yako tu boss wanguView attachment 2185402
Chapati za maji je ?Uwiii za sukari siwezagi![]()







Hutapiki?Chapati za maji je ?
Unaweka sukari au chumvi
Mimi siwezi za chumvi eeh nimezoea chapati ya maji yenye sukari ...
Nawekaga chumvi kwa mbali
Za sukari siwezi kula kabisa.
Chapati za maji je ?
Unaweka sukari au chumvi
Mimi siwezi za chumvi eeh nimezoea chapati ya maji yenye sukari ...
Nilikuwaga sijawahi kusoma aiseeZinavutia
Hizi za Santa Lucia au za kupima ?

Sukari na chumviChapati za maji je ?
Unaweka sukari au chumvi
Mimi siwezi za chumvi eeh nimezoea chapati ya maji yenye sukari ...
Msupu sana yaaniDemu wake anaifaidi mnoo.![]()

Ujue tumefunga boss

Asante
