Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Ukiniita mkurugenzi tena nahama JF mazima mpaka Mama Mchungaji aingilie katiSasa kama siyo kaka yangu
Basi uwe tu mkurugenzi

Ukiniita mkurugenzi tena nahama JF mazima mpaka Mama Mchungaji aingilie katiSasa kama siyo kaka yangu
Basi uwe tu mkurugenzi

Sawa sawa kiongoziUkiniita mkurugenzi tena nahama JF mazima mpaka Mama Mchungaji aingilie kati![]()
Simple but elegant and unique...kuna pawg mmoja hapa ameisifia nikawa najisemea kimoyomoyo...yu a playingi withi fayaaa...mizagamuo can happen![]()








utakuja ufie vifuani, wee endekeza tyuu mizagamuo hiyoo na venye unapenda zhongtong climber.Ulilianzishaga halafuUsimsikilize huyo...Atakupotosha![]()
Binti yangu....halooo!






Kaka?
Haya bana. Ngoja niendelee kupumzika hapa bustanini huku nikila nyimbo za Abiudi kwa raha zangu
View attachment 2184412







Amekuwa mswahili kama wa buza bwanaMie nipoooo mbna lect, wee ndo umepotea kisa vocha,![]()
Ndege napandia wapi mkuu na satini yangu yaa elfu 3?
Huoni hata mazingira niliyopo ya kupanda baiskeli.










khaaaaaahNa milonjo yenu mumuonyeshe nani?Tutavaa kaptura za marinda![]()

Mdogo etu watu wamenivamia kwenye picha yangu ya satini nikiwa getokhaaaaaah



Aisee usinitishe. Wiki jana jamaa mmoja ndugu yetu kafia kwenye mizagamuo...55+ kajifanya kuzagamua na kabinti ka chuo kwa kuboost na Redbull sijui na majitu gani aaa wapi. Ninapoandika hapa si ajabu tayari keshaoza huko aliko. Niko mwangalifu sana mjukuuutakuja ufie vifuani, wee endekeza tyuu mizagamuo hiyoo na venye unapenda zhongtong climber.



Yawezekana anataka aje na ofa ya kupanda ndege safari hii
Tumeridhika na baiskeli zetu huku Milimani Uyole.









Ondoka tuoneUnataka niondoke JF?![]()