spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Hivi mkuu,usipokula daku kinatokea nini?
Sawa mkurugenziNiite mkurugenzi tena consistently tuone![]()
Usiende kule kama una roho nyepesileo ktk uzi wa siasa nusu nipigwe Ban, kule watu wanakera sana aaaah.


Hata ukiingilia haiwezi saidia chochote.




Wamiliki wa fastjet hawa wanatutesaila JF bhana, watu wanavamia na pasipohusika, nimeona hapo Muhaya kakuibukia.






Mdogo angu Pep nimuwekeage tu energy drinksHata ukiingilia haiwezi saidia chochote.
Kibri kikishanipanda..![]()
Itabidi niende nikaone haya maeneo kabla sijacommentnimecheka mnooo,
Umenikumbusha leo, chuon watu walikuwa wanashindanisha Buza na mbagala. Nimecheka km mwehuu yaan. Khaaaah.

First strikeSawa mkurugenzi

Pep ni nani aiseeMdogo angu Pep nimuwekeage tu energy drinks










Ndo nini hicho kiongozi?First strike![]()
Leo skuna ingine






Si ulisema hutaki skuna?Leo skuna ingine
Tunaoteseka ni sisi tusio na skuna.
Kuna mtu unamnyong'onyeza hapa![]()
Napata hypoglycemiaHivi mkuu,usipokula daku kinatokea nini?

Mbona unatutesa maboss jamaniSi ulisema hutaki skuna?
Coca mwenyewe sijui kaenda wapi



.
huwezi mkùuSauna nightPambana na hali yako. Ngongoti oyeeeeView attachment 2184502

Sauna tena? UghonegeSauna night
Sijui night of skuna
Asiye na skuna abandike jiwe chini![]()