Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,509
- 235,214
Nasubiri[emoji2095][emoji2095] sawa
Afu Uzi wa akina Junia huu hapa[emoji23]
Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5 Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambiwa siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito. Sister ana...
sophy27