Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi naijua hiphop ya zamani tu mkuu
Siyo hizi za sasa za kina chemical.

Ninaowakubali ni wengi
Wa kwanza ndio huyo Prof J..
Kuna Albert Mangwea mzee wa Free style na kundi Lake lile la Chemba squad,
Mtaalam Fid Q,
Nako2Nako
Afande sele,
Geez Mabovu,
Langa,
Daz nundaz
Jay Mo
GK

Yaani wapo wengi siwezi kuwamaliza
Umetisha my ex
 
Kwamba umesahau Anko Junia
Eeh nlisahau bhana
IMG_20220407_224720_919.jpg
 
Back
Top Bottom