Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
SureIla zimepoa sana sio kama zamani..
Utandawazi nao umechangia kiasi chake hadi kiwango cha elimu kimeshuka .
SureIla zimepoa sana sio kama zamani..
Kama haziliwi hazina mvutoo.. chenye mvuto ni kinacholiwa 😬😬😬Nilikua sijaona, sjui ilinipita vipi hii🤣🤣
Ila nimezipenda zinavutia kimuonekano wa nje😍😛
Hivi kuna suala la picha eehHaya mkuu ..tumeshakubaliana Prof ni mwamba.
Weka sasa kale kapicha.

Daaah, picha halisi...."Fungua, macho tazama", hawa jamaa walikuwa wanajua aisee!Picha harisi... nimekumbuka kitambo hii.. Gahawa hapo safi kabisa inapendezaa 😀😀
View attachment 2179720
View attachment 2179721
Hip Hop Hip Hop kweli.. vitu kama hivi sasa hivi huvipati.. watakuambia haviuzi 😀😀Daaah, picha halisi...."Fungua, macho tazama", hawa jamaa walikuwa wanajua aisee!
Umetisha my exMimi naijua hiphop ya zamani tu mkuu
Siyo hizi za sasa za kina chemical.
Ninaowakubali ni wengi
Wa kwanza ndio huyo Prof J..
Kuna Albert Mangwea mzee wa Free style na kundi Lake lile la Chemba squad,
Mtaalam Fid Q,
Nako2Nako
Afande sele,
Geez Mabovu,
Langa,
Daz nundaz
Jay Mo
GK
Yaani wapo wengi siwezi kuwamaliza![]()
Kwamba umesahau Anko Junia😁Hivi kuna suala la picha eeh![]()
Mbele kwa mbeleeeh.......😀😀😀😀 huu wimbo kuna bro wangu mmoja alikuwa anaupenda sanaa
View attachment 2179736
Eti eeh?Umetisha my ex
Nilijua dini tuEti eeh?

Dini na hiphop na bongofleva kwa mbali ila za zamani zile😂Nilijua dini tu![]()
The Mutahaba Syndrome....Hip Hop Hip Hop kweli.. vitu kama hivi sasa hivi huvipati.. watakuambia haviuzi 😀😀
Upepo ulianza badirikia hapo..The Mutahaba Syndrome....
Hivi mazee unamfahamu huyo Chief Rhymson ambaye ametajwa humu ???Namkumbuka kila nikiwasha mneli
View attachment 2179747
Tulia kwa Mungu haya mengine achana nayo!...hiyo ngoma "UTU" ni balaaDini na hiphop na bongofleva kwa mbali ila za zamani zile
Leo nimesikiza wimbo wa alikiba
"Sijui nakupenda sana u know that "
Aisee jamaa ni fundi![]()

ni mmoja ya waanzilishi wa kwanza unit huyu mwamba..Hivi mazee unamfahamu huyo Chief Rhymson ambaye ametajwa humu ???
hawa watu kama waasisi wa hip hop tz.. hawa ndio wangeenda kukaa huko Basata 😀😀😀Hivi mazee unamfahamu huyo Chief Rhymson ambaye ametajwa humu ???
Huyu mwamba is something else, nishawahi fika kwake Iringa....ni mmoja ya waanzilishi wa kwanza unit huyu mwamba..