Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi ngoma za WATENGWA na X-PLASTAZ unazo ???






 
Kumbe kwenye HipHop hampo nyuma.
Hebu nipe list yako ya unao wakubali.
Mimi naijua hiphop ya zamani tu mkuu
Siyo hizi za sasa za kina chemical.

Ninaowakubali ni wengi
Wa kwanza ndio huyo Prof J..
Kuna Albert Mangwea mzee wa Free style na kundi Lake lile la Chemba squad,
Mtaalam Fid Q,
Nako2Nako
Afande sele,
Geez Mabovu,
Langa,
Dataz na kaka yake squeezer
Jay Mo
GK

Yaani wapo wengi siwezi kuwamaliza
 
Back
Top Bottom