Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Hapana, mimi sina account nyingine zaidi ya hii.Halafu wewe ni @T1990 Ely eehh!!??😁
Namfatilia kwa ukaribu 🤣Halafu wewe ni @T1990 Ely eehh!!??😁
Namfatilia kwa ukaribu 🤣
Ila Ely sometimes kwa R ye anajiwekea zake L
kumbe! Basi sauwa selfii ziendelee ✌️✌️Hapana, mimi sina account nyingine zaidi ya hii.
🤣kumbe! Basi sauwa selfii ziendelee ✌️✌️
yaniii !!Namfatilia kwa ukaribu 🤣
Ila Ely sometimes kwa R ye anajiwekea zake L
Lips😍
Kinga ni bora kuliko tiba![]()
🤣🤣🤣🤣 hallo halloooLips😍
Nauomba chemba
Ila me nataka unifundishe ule unaoimbaga na sauti ya 1, nina shida nao sana. It's urgent
Sawa mamaSazdei iz pho flashibaki View attachment 2179529
Twende kaziiii dj😅😅🤣🤣🤣🤣 hallo hallooo
Microphone test
One two one two 🎤
Enzi za Billicanas.. ukikutana na huu wimbo unavimba.. kama unavaa uhusika 😀😀😀Halafu kulikuwa na Hawavumi Lakini Wamo, hivi kilipotelea wapi kile kipindi.... 🤣
Naijua hii, niliiona mahali.Sazdei iz pho flashibaki View attachment 2179529
🤣🤣🤣😂 ndiyo mie dadaNaijua hii, niliiona mahali.
Kumbe ndio wewe yule😛
Wale wasanii wake sijui walikua wanawatoa wap jaman😂😂Halafu kulikuwa na Hawavumi Lakini Wamo, hivi kilipotelea wapi kile kipindi.... 🤣
Nafurahi kukufahamu jamani, nilikua naimagine tu ukoje ila sasa nimepata full picha nimefurahi sana😘🤣🤣🤣😂 ndiyo mie dada