Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Na wewe umeliona hilo mkuu!Wewe acha uongo![]()
Na wewe umeliona hilo mkuu!Wewe acha uongo![]()
Na hapo ana watoto wawili
Sipatii picha before
Zitakuwa zilikuwa km mkuki





Basi na mimi siondoki hapa. Acha tusubiriane sasa ohoo!hahahaaa . mtandio mida hii sio poa msukuma!!![]()




Kahawa inaongeza. maisha kuwa.marefu.I love kahawa☕
Akijua tu kuwe weka Virtual DJ kamaliza kazi..![]()
😀😀😀 unakuta jitu lina bonge ya kitambi nazungumzia wanaume sio ke.. huwa nacheka sanaa unalikuta juu ya mezaVitambi vina kaz gani hapo
Ngoja giza liingie nitaifuta EmojiEeeh
Aiseee hizi tabia ni za akina Junia.
Mimi naitaka ileile tu,uitoe emoji.

Usitukandie sana mtumishiunakuta jitu lina bonge ya kitambi nazungumzia wanaume sio ke.. huwa nacheka sanaa unalikuta juu ya meza





Changamoto za Technology hizo.. imekuja rahisishia kazi ila wamebweteka.. unakaa mahala hadi unamtukana Dj kimoyo moyo 😀😀😀😀Na virtual dj ndio inawapumbaza waone hawahitaji kujifunza zaidi...
Kinga ni bora kuliko tiba

😄😄😄 ila amapiano inawapendeza wenye miili mikubwaaa... singeli na wasio na miili.. 😄😄Usitukandie sana mtumishi![]()
kweli tena shangazi!🤭Wewe acha uongo![]()
Mwambie aweke sisi wengine tutafunga machoBasi na mimi siondoki hapa. Acha tusubiriane sasa ohoo!
Hebu weka bana halafu unaifuta chap! Na nini kinaogopwa?
Come on Boss Lady![]()

Basi na mimi siondoki hapa. Acha tusubiriane sasa ohoo!
Hebu weka bana halafu unaifuta chap! Na nini kinaogopwa?
Come on Boss Lady![]()
hahahaaaNa wewe umeliona hilo mkuu!
MweeeNgoja giza liingie nitaifuta Emoji![]()

Ni tatizo kila mahali. Huwa naangalia kipindi cha Air Disasters. Ajali nyingi tu zinasababishwa na marubani kutegemea sana automation. Kukiwa na dharura ya kweli au hiyo automated system ikikorofisha wanakuwa hawajui la kufanya.Changamoto za Technology hizo.. imekuja rahisishia kazi ila wamebweteka.. unakaa mahala hadi unamtukana Dj kimoyo moyo![]()
Na tushazoea boss ledi hana uswahiliBasi na mimi siondoki hapa. Acha tusubiriane sasa ohoo!
Hebu weka bana halafu unaifuta chap! Na nini kinaogopwa?
Come on Boss Lady![]()
