Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
kumbe dar mna raha sana.. huku mikoani tunapata shida sana kupiga chaboo.. tukija japo tunajionea tuuu neema... 😊😊Nipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
kumbe dar mna raha sana.. huku mikoani tunapata shida sana kupiga chaboo.. tukija japo tunajionea tuuu neema... 😊😊Nipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
HongeraMungu ni mwema tumefika salama Nkamu![]()
hahaha.. ilikuwa lazima hiyo mida nikae kwenye kiooBwahahaha, ITV kila saa moja jioni walikuwa wanaipiga baada ya matukio ya wiki.
RIP massai aiseee.MALCOM LUMUMBA
hapa mgumu alikumbana na chomboo aisee.. akapunguza ugumu..
Na Mr. Ebo kanikumbusha mbali sana hapa.. leo nimekuwa na siku nzuri sana kwa hizi ngoma.. nimewambuka hip hop wenzangu.. kitambo.. na sie tulikuwa tuna fuga mi ndevu na nywele ingawa wengine tuna upaa na kuchana 😄😄ilikuwa inataka kutufanya wagumu hovyo
View attachment 2179303
View attachment 2179306
Nifanyie
Upendeleo
JustnowSaivi nimejiegesha hapa!! wewe upo wapi??View attachment 2179476

ndio jiselfie utupie!
Halafu kulikuwa na Hawavumi Lakini Wamo, hivi kilipotelea wapi kile kipindi.... 🤣hahaha.. ilikuwa lazima hiyo mida nikae kwenye kioo
Sa hv nipo kwenye giza hapandio jiselfie utupie!

Boss ledi wetu anapunga upepoMuda huu nimejiegesha hapa!! wewe upo wapi??View attachment 2179476



Tupia ivoivo!Sa hv nipo kwenye giza hapa![]()
Si kule kwenye ule uziMkuu wapi huko!
Hahaha,nakuja tutete kidogo


Tupia ulipo!!Boss ledi wetu anapunga upepo
Tunasubiri mambo
washa taaSi unaona hata sionekaniView attachment 2179482


