Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Bado unaninyima yako?
Bado unaninyima yako?
Hatari na hakuna wa kumzingua maana ana mtetezi wakeJunia anaupiga mwingi![]()



Mweeeeh




Marahaba mdogo wanguShkamoo Mjep
Umenisusa sana![]()
Tuendelee kumfatilia mtumishi anaupiga mwingiAisee utakuwa wa aina yangu. Namfuatilia hapa mtumishi live
Hapana ninapotea kidogo kwa muda then nikirudi narudi nayoBado unaninyima yako?
Sawa JuniaHapana ninapotea kidogo kwa muda then nikirudi narudi nayo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sijui hata umeanzia wapiMarahaba mdogo wangu
Sijakususa
Nitaanzia wapi kukususa wewe?

SikumtafutaKuna yule aliyenipenda
Si kwa ajili ya mali..
Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu
Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine
Huyu halali wala hasizinzii
Hata leo hajawai kunichoka eeeh View attachment 2179513
Kwa kweli mtumishi yuko vizuri. Ndoa ziponeTuendelee kumfatilia mtumishi anaupiga mwingi
Kwa haraka hataka mkono unasadifu yaliyomo.
Hahaaa😘Kwa haraka hataka mkono unasadifu yaliyomo.
Aki msingekunywa maji😂😂Dah 🤣🤣🤣 hivi sio wewe unakaa kule mnakopata upepo wa coco B
🤣🤣🤣🤣Aki msingekunywa maji😂😂
😍😋Hahaaa😘
🙌🙌🎵🎵
Halafu wewe ni @T1990 Ely eehh!!??😁Kwa haraka hataka mkono unasadifu yaliyomo.