Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 631
- 1,417
Sure hawana jipyaNo creativity yaan full utopolo

Sure hawana jipyaNo creativity yaan full utopolo

Atakataa kula JuniaUkimpiga atakasirika atajitupa tupa na atakataa kula![]()

Nataka nitoke Anko JuniaNgoja kidogo itatupiwa tu![]()

😄😄😄🤓🤓🤓 aaah! kumbe kuna ku futuru.. asubuhi nimejipiga mavitu ya ajabu ajabuuu.. nikifika nasukumia makahawa na kulala.. tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Muda wa kufturu bado?
Eti mama wa watoto wawili mweh! Wengine hata hawajazaa lakini zimelala yoo![]()



Vitambi vina kaz gani hapoamapiano nzuri na inanoha kutazama wadada na watu wenye vitambi kama mimba.. wakiwa juu ya vimeza midaaa mibayaa kabisaa.. huwa zinabambaaa.. ila pia siku hizi ma dj wa kubahatisha sana.. Djs wachache sana siku hizi
Nilikua nakusubiria msukuma kuna ya mtandio hapa!!😜😜Eti mama wa watoto wawili mweh! Wengine hata hawajazaa lakini zimelala yoo![]()
Hahahahaaaa
Umenikumbusha wimbo wa Sugu moto chini aaah
Umejifunuka sn..Hata huonekaniNipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
Unaweza kupiga mtu makofiAtakataa kula Junia![]()

Eti mama wa watoto wawili mweh! Wengine hata hawajazaa lakini zimelala yoo![]()
Mrembo wangu u Hali gani mamiiNimefurahi kukuona mwamba
Mkuu wapi huko!Mkuu nimeiona picha yako kule uko vizuri![]()
Nitavizia ukiwa on hata usijaliNataka nitoke Anko Junia![]()

I love kahawa☕😄😄😄🤓🤓🤓 aaah! kumbe kuna ku futuru.. asubuhi nimejipiga mavitu ya ajabu ajabuuu.. nikifika nasukumia makahawa na kulala.. tu
Huu uzi usipokuwa na roho ngumu unakimbilia pm bila kupenda🙌Ewaa mshale
Hongera sana. Huo ndo utukufu wa mwanamke - kiumbe aliyebarikiwa!Kweli msukuma!! Nimetoa vichwa viwili!!

Kwa nn hujamweka na Chakorii ? Nitakupigia faini!!Naomba suala la namba 8 tuwaachie Yna na mahondaw
Mbona naonekana vzuri kabisa, ile crystal clear😛
Hakika nimetenda dhambi kwa kuwaza.Saint Anne njoo unirekebishe vizuri hapa beganiView attachment 2179389