Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Nimekumbuka ile ticket ya revision🤣🤣Esther nimepanda, siku niliyoipanda nilishibia machungwa yale ya bure.
Marangu na Machame siyaelewagi
Tilisho anakimbia hatari, na mwenzake Kidia
Anaanzaga Dar express banaGari ya kwanza kuingia dar kutoka kaskazini ni tilisho, nazipenda sana zinatuwahisha sana.
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mimi jamaniNimekumbuka ile ticket ya revision🤣🤣
Guu guu ng'wanawane. Sema tu ni la binti yangu...ila bado ni guu




Sasa nimeelewa faida yake😂🤣🤣🤣🤣 nimecheka mimi jamani
Natamani kubisha lakini nikubali tu, mimi niko karibu sana na njia ya Bagamoyo ambayo baadhi ya mabasi kutoka na kwenda kaskazini yanapita, sijawahi kuona gari inayomtangulia tilisho, labda njia ya chalinze ila ya msata na kataa.Anaanzaga Dar express bana
Express anatoka Dar anafika Ars saa 9 ya dk za mwanzoni
Afu anafata Kidia na Tilisho, Dar express uwa anawaacha.
Nina bahasha ya kutunzia kabisa 🤣Sasa nimeelewa faida yake😂
Zinakumbusha mbalii.. Kina Zola D..Hahaha, The Diplomatics miaka hiyo, thanks Brav umenikumbusha mbali sanaa!
Zinakumbusha mbalii.. Kina Zola D..
View attachment 2179220
Dar Express anawatangulia kuingia ArushaNatamani kubisha lakini nikubali tu, mimi niko karibu sana na njia ya Bagamoyo ambayo baadhi ya mabasi kutoka na kwenda kaskazini yanapita, sijawahi kuona gari inayomtangulia tilisho, labda njia ya chalinze ila ya msata na kataa.
Vingine vimenyamaza kimya ila raba imeitikia marahaba 😎Pamoja na vingine ila hio raba naiamkia!
Kho kho khoGuu guu ng'wanawane. Sema tu ni la binti yangu...ila bado ni guu![]()
![]()
Shangazi leo nakesha hapa.. tupi basi Shangazi.... Bongo wa fleva muhimu shangazi 😄😄Mjomba na wewe kumbe unasikiliza hip hop
🤣 hadi simu imenidondokaZinakumbusha mbalii.. Kina Zola D..
View attachment 2179220
😍😍🤗Naam sisy.
Mshepu + kiuno nyigu 🥰🥰hongera!nauzoom tu😘😘