Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Huamini! Sie ndio wale tunakukuua huku tunacheka!!Wewe huyuhuyu?
Huamini! Sie ndio wale tunakukuua huku tunacheka!!Wewe huyuhuyu?
Daku yangu huwa ni nyepesi, naweza gonga tende tu na maji au vijiuji basi.
Na hapo baadaye tena unagonga daku
Jamaican makes you smile 9.8ms squared
Junia hasira inambana ,anatupia simu kwenye maji


Junia uyo atanifanya nikalale polisiOh hii imekaa vizuriDaku yangu huwa ni nyepesi, naweza gonga tende tu na maji au vijiuji basi.
Junia anakasirika,anajitupa chini na hataki kulaJunia uyo atanifanya nikalale polisi
Ngoja niutafute huu uziNimecheka duh
Sijambo mkuu japo hapo kwenye binti umekosea nimevuka kwenye u binti🙏🏽Hujambo Binti mzuri@Nuzulati
Usilazimishe mambo. Unaweza nionesha sehemu nimesema wanawake hawana umuhimu? huu ndio upumbavu wa kukurupuka kujibu bila kumsoma mtu btn line..Halafu bado unasema akina Nuzulati Sio muhimu kwako. Hahaaaaaa, as I said hujui unachokimiss. Najua utasema hapa tunataniana.....blahblah....
Jifunze kuheshimu utaratibu wa maisha ya watu hatuwezi fanana. Kila mtu ana vitu vyake vinavyo mpa furaha.. na amaniJamaican makes you smile 9.8ms squared
Hivi alipotelea wapi? Au ID zake zingine zilimwelemea hii akaitelekeza? Kimalkia chake kilikuwa kinafanana na cha jamaa mmoja mpiga boksi



Mara nyingi mapenzi huambatana na upendo lakini upendo siyo lazima uambatane na mapenzi....