Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Junia acha usimpige mgeniKama sio jela
Kunasiku kunamama na mwanae ana miaka kama nane hivi
Mtoto anashusha nguo kwenye enga Mara apande kwenye kiti ajirushe
Mama mtu sasa "wew Junia acha iyo"
Junia njoo Basi hapa
Junia wew usishike hapo
Nilichukia nikasema looh angekuwa mamaangu kashanipiga mtama muda Sana Hana muda wa kupoteza![]()
Hadi mdogowangu akaingilia Kati akamuuliza dada huyu mtoto umemzaa mwenyew au umepewa umlee maana Junia Junia tumechoka tutamfumua mwanao hapa utupe kesi![]()
We junia acha simu ya mgeni
Junia ametoka amevaa chupi ya mama yake kichwani..
Baba yake anachukua huku anamwambia wee Junia bwana acha.



Huu ni Uzi Fulani wa chizimaarifa..nilicheka nilitaka kuzimia.



Et Junia wew usinipige na begi nitakunyima garilako lile usichezee jamani Junia usimkaripie atalia
.
.



