Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Safi sanaa.. katoto kazuri ka Depal kako wapi.. nime ka miss 😊😊Nasambaza malovee, leo si weekend tuenjoy
Safi sanaa.. katoto kazuri ka Depal kako wapi.. nime ka miss 😊😊Nasambaza malovee, leo si weekend tuenjoy
Usijali, kesho kutwa nitakuja kutalii hapo Soko Kuu la Ndugai. Nitakuletea, ila usile ukiwa mwenyewe bila uwepo wa Mzee mwenzangu. Shughuli yake so haba 🙊2000g zantosha kabisaaMimi hizo hazinipi hamasa awepo asiwepo nasongesha tuuu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hizi zimetoka Tanzania na Vietnam. Hazina jipya![]()


😁😁😁 kaisar wa ijumaa huwa anakuwa mnoko kweli akikunasa pabayaItakua kametingwa na kaisari ila utamuona atareport hapa muda si mrefu.
Depal umemisiwa huku
Sana tena ukute weekend huend ndio unakamatika hatari na leo mwanzo wa mwezi balaa zaidi😁😁😁 kaisar wa ijumaa huwa anakuwa mnoko kweli akikunasa pabaya
TokaaaKumbe ni mjumbe
Wa mbogamboga![]()
eeh! mshahara usije kosa la kufanya asieee.... ila anasaidia sanaSana tena ukute weekend huend ndio unakamatika hatari na leo mwanzo wa mwezi balaa zaidi
Sana, tuendelee kupambana hamna namna.eeh! mshahara usije kosa la kufanya asieee.... ila anasaidia sana
. Boss mnoko kanituma kaharibu michongo.. na mbaya zaidi naondoka nae 😔😔😔😔Sana, tuendelee kupambana hamna namna.
Kesho si ndio weekend lile jambo letu 😋
kwendraaa zakoooo 😏😏😏Tokaaa
Shindwaaa weeeNimekuona
Kwa UTV
Ulikaa jirani na mrema![]()
🧚🧚🧚🧚🧚🧚🧚kwendraaa zakoooo 😏😏😏
😜😜😜🧚🧚🧚🧚🧚🧚🧚
Mboga mbogaShindwaaa weee


Ndiyo maana bongeee
Shem Pep na Mimi tuna special bondMboga mboga
Oyee
Sasa nimeelewa kwanini Pep anakukubali![]()