Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Subiri hapahapaSelfika bhas
Na hiyo yunifom yenu
![]()
🎉🎉🎉🎉🎉Ndiyo maana bongeee
Tunajuana kindakindakiOh!
Hamjakutana barabarani![]()
Nae kama alijua mipango yako!. Boss mnoko kanituma kaharibu michongo.. na mbaya zaidi naondoka nae 😔😔😔😔
bata la mwisho wa mwezi huwa traaamu sanaaa.. mambo mengine yangejisumbukia tu 😁😁Nae kama alijua mipango yako!
Kashaharibu mambo
Hahahaaa si ndiooooobata la mwisho wa mwezi huwa traaamu sanaaa.. mambo mengine yangejisumbukia tu 😁😁
hata hela ikiisha ikifika tarehe tano unakopa 😜😜😜Hahahaaa si ndiooooo
Nitakuteka siku moja
🥺🥺🥺🥺🥺 Kisa?Nitakuteka siku moja
Na mkasa utajua baada ya kutekwa 👷♂️👷♂️🥺🥺🥺🥺🥺 Kisa?
si anazo nyingi au ikiwezekana anipe zako nikuletee mie namba yako ninayo nikifika dom nakuchek 🤣🤣🤣!!Looh!mbona wanifanyia roho mbaya namna hyooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Half trh 7 ishaisha unakopa nyingine ya kuendesha mwez😂😂hata hela ikiisha ikifika tarehe tano unakopa 😜😜😜