Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Kuna watu sio wastaarabu kabisa, wameweka pesa mbele kama tai.Wanataka kutulisha haram hawa watu na mwenzi wa toba unaokuja😬kwa kweli bora dear aniletee mafuta ya Samli
Kuna haya mafuta ya mgando kama Kimbo nk, nayo ni option nzuri kwa sasa tena unatumia muda mrefu sema kwenye kukaanga chips/mandaz ndio hayafai


