Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli umeongea kitu kikubwa na cha msingi sana, wema hua siku zote hauozi ukigundua hilo basi utaishi vizuri na watu.
Dharau, majivuno sio kabisa kwenye haya maisha ambayo hatujui kesho yetu itakuaje.

Wewe utakua uko charming ndio maana umeweza kufanya yote hayo, na ukimtendea mtu mema lazima tu utabarikiwa na namna yako.
Nilishajifunza, kuwa mkarimu na mcheshi kwa mtu hupungukiwi jambo.. kuliko kuwa mwenye mitazamo kujiona au kujisikia.. dunia ni duara na hatujui kesho yetu.. nacheka na kila mtu.. watu huwa nawaambia ukikuta mtu ana ugomvi na mie ujue huyo ana elements za kichawi laizma anichukie.. maana mchawi hanaga jema anapokutana na roho nyeupe.. jiandaeee tukawinde jiandae na road trip matataa sanaaaa 😊😊
 
Wapendwa tupate Tangazo kutoka kwa wadhamini wetu😃😃😃
DA6F3685-5AAB-47CD-8300-91FA45ADF24B.jpeg
 
Nilishajifunza, kuwa mkarimu na mcheshi kwa mtu hupungukiwi jambo.. kuliko kuwa mwenye mitazamo kujiona au kujisikia.. dunia ni duara na hatujui kesho yetu.. nacheka na kila mtu.. watu huwa nawaambia ukikuta mtu ana ugomvi na mie ujue huyo ana elements za kichawi laizma anichukie.. maana mchawi hanaga jema anapokutana na roho nyeupe.. jiandaeee tukawinde jiandae na road trip matataa sanaaaa 😊😊
😂😂😂 mchawi mtu mbaya sana, asikuone unafurahi basi ye ananuna inamuuma.
Tutende yaliyo mema kwa majirani zetu bila kungoja shukrani.

Hapo tutamatch vzuri sana, me napenda sana +ve vibes maana we only live once

Me niko redeeeee🤸🏾‍♀️🤸🏾‍♀️ nasubiri tu siku ifike
 
😂😂😂 mchawi mtu mbaya sana, asikuone unafurahi basi ye ananuna inamuuma.
Tutende yaliyo mema kwa majirani zetu bila kungoja shukrani.

Hapo tutamatch vzuri sana, me napenda sana +ve vibes maana we only live once

Me niko redeeeee🤸🏾‍♀️🤸🏾‍♀️ nasubiri tu siku ifike
😇😇😇😇.. we only live once
 
Back
Top Bottom