Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Goodnight Boss Lady. Hata mi naondoka hapa. Mungu Atulinde na kutubariki sote



Goodnight Boss Lady. Hata mi naondoka hapa. Mungu Atulinde na kutubariki sote



Kuna uzi nimeona eti kwa sasa mafuta ya nguruwe ndio wanatuuzia tutapona kweli li nguruwe lilivyo libaya vile tena limelaaniwa😬Tutachemsha mihogo tunywee chai hadi tukitoka jasho linukie mihogo na viazi
Kazi ipo kwa kweli ngoja niamie kule tuliposhauliwa kwenda😬
Unitag basi ukiweka. Asante....Hahaah sawa babu, kesho nitaweka ngoja nijikoki,,,
kesho kote huko jamani 🙄🙄!!Hahaah sawa babu, kesho nitaweka ngoja nijikoki,,,
Najua kipenzi changu asante kwa kunipenda baby❤️😍😍😍 si unajuwa we ndio furaha yangu na uhai wangu..
Burundi? Hao hata bandari hawana. Usijekuta bei ya mafuta huko ni maradufu ukatamani kurudiKazi ipo kwa kweli ngoja niamie kule tuliposhauliwa kwenda![]()



Naenda zambia mkuu au huko nako kwacha itanirudisha bongoBurundi? Hao hata bandari hawana. Usijekuta bei ya mafuta huko ni maradufu ukatamani kurudi![]()
😀😀😀 Kuna mafuta ya samli mpenzi wangu au ya sato ndio tutakuwa tunatumia..Kuna uzi nimeona eti kwa sasa mafuta ya nguruwe ndio wanatuuzia tutapona kweli li nguruwe lilivyo libaya vile tena limelaaniwa😬
Asante kipenzi kwa kujali 😍😀😀😀 Kuna mafuta ya samli mpenzi wangu au ya sato ndio tutakuwa tunatumia..
Labda haya mafuta ya kupima wanaweza chakachua maana nchi yetu hii nayo sometime kufa kufaana.Kuna uzi nimeona eti kwa sasa mafuta ya nguruwe ndio wanatuuzia tutapona kweli li nguruwe lilivyo libaya vile tena limelaaniwa😬
kumbe hadi wewe upo nchi za mabeberu !!! sasa ma "yutong" unayapataje huko boss
Afya muhimu.. niagizeni mafuta ya samli.. kuna maeneo huwa nikiwa naenda chato huwa nayakuta kibao.. mazuri sanaaa 🙂🙂..Labda haya mafuta ya kupima wanaweza chakachua maana nchi yetu hii nayo sometime kufa kufaana.
Hapo bora mtu ununue kidumu ambacho kiko sealed atleast sio rahisi kuchakachua
Wanataka kutulisha haram hawa watu na mwenzi wa toba unaokuja😬kwa kweli bora dear aniletee mafuta ya SamliLabda haya mafuta ya kupima wanaweza chakachua maana nchi yetu hii nayo sometime kufa kufaana.
Hapo bora mtu ununue kidumu ambacho kiko sealed atleast sio rahisi kuchakachua
Serious dumu sh ngapi nahitaji kweli samliAfya muhimu.. niagizeni mafuta ya samli.. kuna maeneo huwa nikiwa naenda chato huwa nayakuta kibao.. mazuri sanaaa 🙂🙂..
😀😀😀😀 chuma inakula tu wese.. haijui tatizo la putin
my inspiration mwezi wa toba.. nakupeleka mahala.. hadi uishie huko hakuna kujitia unajisi wala kuhusishwa haramu 😊😊😊Wanataka kutulisha haram hawa watu na mwenzi wa toba unaokuja😬kwa kweli bora dear aniletee mafuta ya Samli
Harufu yake ikoje?Afya muhimu.. niagizeni mafuta ya samli.. kuna maeneo huwa nikiwa naenda chato huwa nayakuta kibao.. mazuri sanaaa 🙂🙂..
kwa wewe nakulete buree kabisa mpenzi.. next week naenda kuanzia ijumaa.. serious sio utani kama unayapensa na huwa unayatumia nitakuchukulia..Serious dumu sh ngapi nahitaji kweli samli
Wapi huko kipenzi wa mimimy inspiration mwezi wa toba.. nakupeleka mahala.. hadi uishie huko hakuna kujitia unajisi wala kuhusishwa haramu 😊😊😊