Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,881 Heaven Sent said: Weee ni huyo tu na mnyaki feki mwenzie Aristotee Click to expand... Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini? Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia?? Eti zamani walisemaga sherehe ni watu Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa
Heaven Sent said: Weee ni huyo tu na mnyaki feki mwenzie Aristotee Click to expand... Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini? Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia?? Eti zamani walisemaga sherehe ni watu Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,882 Strawbella said: Ndio zenyewe hizo,zina upako wa kutosha.. Click to expand... Zinawaingiza watu kwenye maombi
Strawbella said: Ndio zenyewe hizo,zina upako wa kutosha.. Click to expand... Zinawaingiza watu kwenye maombi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,883 ERoni said: Jamani jamani... Isije kuwa kale ka komenti kangu tu le madame! Huwa nina mautani mengi tu mama! Click to expand... Ila chawa tupo Hakuna kitu kitaharibika Boss ledi yupo sana
ERoni said: Jamani jamani... Isije kuwa kale ka komenti kangu tu le madame! Huwa nina mautani mengi tu mama! Click to expand... Ila chawa tupo Hakuna kitu kitaharibika Boss ledi yupo sana
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,884 Heaven Sent said: Wewe na mpambe wako, mkipaka rangi mnatunyasanyasa sana Click to expand... Yaani leo nimeamkia kushoto Hakuna picha niliyoibahatisha
Heaven Sent said: Wewe na mpambe wako, mkipaka rangi mnatunyasanyasa sana Click to expand... Yaani leo nimeamkia kushoto Hakuna picha niliyoibahatisha
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,885 reymage said: Anne boss kaweka mkono Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Nina mkosi leo napitwa na ndege airport
reymage said: Anne boss kaweka mkono Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Nina mkosi leo napitwa na ndege airport
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,886 Strawbella said: Usitufanyie hivyo bwana,huyu ni [mention]Saint Anne [/mention] kasababisha Click to expand... Basi tuilaumu shepu ya boss ledi maana inatikisa mataifa yote ulimwenguni
Strawbella said: Usitufanyie hivyo bwana,huyu ni [mention]Saint Anne [/mention] kasababisha Click to expand... Basi tuilaumu shepu ya boss ledi maana inatikisa mataifa yote ulimwenguni
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,887 Heaven Sent said: Na Mimi pia. Unalijua tege langu? Click to expand... Kamba umeanza lini?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,888 mahondaw said: kila la kheri sie ukituma tunakusifia tu as usual selfika hatunaga makuu mbona! Click to expand... Kabisa yaani Hata boss ledi wetu jasiri hanaga makuu
mahondaw said: kila la kheri sie ukituma tunakusifia tu as usual selfika hatunaga makuu mbona! Click to expand... Kabisa yaani Hata boss ledi wetu jasiri hanaga makuu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,889 Strawbella said: Mimi napenda sana kusoma vitabu hata page 500 nasoma ni ka book worm fulani hivi Click to expand... Nilisema mimi wewe uzungu upo rohoni. Wenzangu na mimi hatujui hata milango ya library ilikuwa inafanania vipi
Strawbella said: Mimi napenda sana kusoma vitabu hata page 500 nasoma ni ka book worm fulani hivi Click to expand... Nilisema mimi wewe uzungu upo rohoni. Wenzangu na mimi hatujui hata milango ya library ilikuwa inafanania vipi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,890 reymage said: Ngoja Anne aje aseme Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Halimzidi boss wetu wa kimataifa Shepu yake imebalance mzani. Haijaelemea popote yaani
reymage said: Ngoja Anne aje aseme Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Halimzidi boss wetu wa kimataifa Shepu yake imebalance mzani. Haijaelemea popote yaani
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 29, 2022 #171,891 ERoni said: Jamani jamani... Isije kuwa kale ka komenti kangu tu le madame! Huwa nina mautani mengi tu mama! Click to expand... Kwa zile pamba zake kali yuko busy anachakata mikopo yetu pale World benki
ERoni said: Jamani jamani... Isije kuwa kale ka komenti kangu tu le madame! Huwa nina mautani mengi tu mama! Click to expand... Kwa zile pamba zake kali yuko busy anachakata mikopo yetu pale World benki
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Mar 29, 2022 #171,892 Saint Anne said: Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini? Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia?? Eti zamani walisemaga sherehe ni watu Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa Click to expand... Wanyaki ni watu na nusu. Kwenye Sherehe watalia kweli, kwenye shughuli watashughulika haswaa
Saint Anne said: Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini? Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia?? Eti zamani walisemaga sherehe ni watu Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa Click to expand... Wanyaki ni watu na nusu. Kwenye Sherehe watalia kweli, kwenye shughuli watashughulika haswaa
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Mar 29, 2022 #171,893 Leo humu kimya sana why🤔
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 Mar 29, 2022 #171,894 Mjep said: Tuko huku View attachment 2168325 Click to expand... Huku
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 29, 2022 #171,895 Saint Anne said: Na siachi Bina Siyo kwa ile Algebra umeshusha aseee Jinsi unavyopendeza wewe ukinipigisha zile calculus chap kwa haraka nadaka Click to expand... chawa km chawaa!!!sikuwezi Mimi!!! Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Na siachi Bina Siyo kwa ile Algebra umeshusha aseee Jinsi unavyopendeza wewe ukinipigisha zile calculus chap kwa haraka nadaka Click to expand... chawa km chawaa!!!sikuwezi Mimi!!! Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 29, 2022 #171,896 Saint Anne said: Yaani leo nimeamkia kushoto Hakuna picha niliyoibahatisha Click to expand... poleeeee Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Yaani leo nimeamkia kushoto Hakuna picha niliyoibahatisha Click to expand... poleeeee Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 29, 2022 #171,897 Saint Anne said: Kwa zile pamba zake kali yuko busy anachakata mikopo yetu pale World benki Click to expand... Ebu kwendaa Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Kwa zile pamba zake kali yuko busy anachakata mikopo yetu pale World benki Click to expand... Ebu kwendaa Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 29, 2022 #171,898 Heaven Sent said: Wanyaki ni watu na nusu. Kwenye Sherehe watalia kweli, kwenye shughuli watashughulika haswaa Click to expand... Ukiwa na stress kama huna rafiki wa Kinyalo utapta depression aseehh!!hawa watu mabingwa wa ushauri!! Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Heaven Sent said: Wanyaki ni watu na nusu. Kwenye Sherehe watalia kweli, kwenye shughuli watashughulika haswaa Click to expand... Ukiwa na stress kama huna rafiki wa Kinyalo utapta depression aseehh!!hawa watu mabingwa wa ushauri!! Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Strawbella JF-Expert Member Joined Mar 24, 2021 Posts 1,758 Reaction score 5,803 Mar 29, 2022 #171,899 Nuzulati said: Leo humu kimya sana why Click to expand... Wewe ndio umekua kimya leo,salama dear?
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Mar 29, 2022 #171,900 Strawbella said: Wewe ndio umekua kimya leo,salama dear? Click to expand... Salama kipenzi nipo weka moja nisuuze macho
Strawbella said: Wewe ndio umekua kimya leo,salama dear? Click to expand... Salama kipenzi nipo weka moja nisuuze macho