Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Sipati picha siku nikifunga 3 kavu, mtanikuta "mwimbili".3 kavu
Vifungu inategemea na mwenyewe Roho wa Mungu anapomsukuma asimamie.
Mimi nampa hili;
Mathayo 19:27-29
"Ndipo Petro akajibu,akawaambia,Tazama,sisi tumeacha vyote tukakufuata;tutapata nini basi?
Yesu akawaambia,Amin,nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi,katika ulimwengu mpya,atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake,ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.
Na kila mtu aliyeacha nyumba,au ndugu wa kiume au wa kike,au baba,au mama,au watoto,au mashamba,kwa ajili ya Jina langu atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele.
................
●Basi kwa ajili ya Bwana ameacha chakula kwa muda,atapokea majibu na Mungu atamtendea na kumzidishia katika mengi.
● Anafuata mwenendo na nyayo za Kristo katika utakatifu (utii) 1Petro 1:14-16,2:21-22
●Atapokea majibu kwa ushindi maana maombi ya kufunga kujitaabisha yana nguvu
Mathayo 17:21
●Kuomba kwake kwafaa sana
Yakobo 5:16-18
Ana shida yule kimbaumbauUsithubutu kukutwa na cocastic mamaa mizagamuo!!!! Utalia kikwenu !!🤣🤣😜
Mamboooooo!!😘😘😘😘✌️✌️Boss lediii mjengoni![]()
Amen. Have a productive day boss ladyMuwe na wakati mwema na kazi njema pia! Mungu awajalie wepesi kwa yote!View attachment 2168009
Amina....ilaaaaa. Ila sit-ups zinahitajiMuwe na wakati mwema na kazi njema pia! Mungu awajalie wepesi kwa yote!View attachment 2168009
Asante ma mchungaji!🙏🙏🙏🙏Amen. Have a productive day boss lady
3 kavu
Vifungu inategemea na mwenyewe Roho wa Mungu anapomsukuma asimamie.
Mimi nampa hili;
Mathayo 19:27-29
"Ndipo Petro akajibu,akawaambia,Tazama,sisi tumeacha vyote tukakufuata;tutapata nini basi?
Yesu akawaambia,Amin,nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi,katika ulimwengu mpya,atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake,ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.
Na kila mtu aliyeacha nyumba,au ndugu wa kiume au wa kike,au baba,au mama,au watoto,au mashamba,kwa ajili ya Jina langu atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele.
................
●Basi kwa ajili ya Bwana ameacha chakula kwa muda,atapokea majibu na Mungu atamtendea na kumzidishia katika mengi.
● Anafuata mwenendo na nyayo za Kristo katika utakatifu (utii) 1Petro 1:14-16,2:21-22
●Atapokea majibu kwa ushindi maana maombi ya kufunga kujitaabisha yana nguvu
Mathayo 17:21
●Kuomba kwake kwafaa sana
Yakobo 5:16-18
Wengine tunataka ladha tofauti, usituzibie rizki mama!Wapost tu
Sisi ni chawa tu wa kumpa kichwa boss ledi wetu
Unaona sasa, Saint Anne acha habari zako😂Achana na Uzuma huo, check nishavua viatu 🤣 Heaven sView attachment 2168101
Muache Mtakatifu wa watu 🤣 nyumbani kwao kuna wakubwa wakushantoUnaona sasa, Saint Anne acha habari zako😂
Atafanya wadada was selfika wawe inferior, sisi tunataka kuona vyote😂Muache Mtakatifu wa watu 🤣 nyumbani kwao kuna wakubwa wakushanto
Achana na Uzuma huo, check nishavua viatu 🤣 Heaven sView attachment 2168101
Shindwaaa shetaniiii
Tukuwe inferior kisa!??Atafanya wadada was selfika wawe inferior, sisi tunataka kuona vyote😂
Mino moja mattatta sana... imekaa poa ✌️✌️✌️Achana na Uzuma huo, check nishavua viatu 🤣 Heaven sView attachment 2168101
Utanikuta kwa room yako ukirudiShindwaaa shetaniiii
Wewe ni pacha wangu kwenye kuvua viatu.



Shangaa nawewe....Tukuwe inferior kisa!??
Me bado sana![]()